Bikirajohola
JF-Expert Member
- Jun 11, 2022
- 356
- 634
Ubunge unaweza kukagua gwaride la heshima?Ubalozi na ubunge upi deal?
Sasa hapa Nape ameingiaje😀😀😀Katibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.
View attachment 2263066
Amechanja chanjo ya uviko au hakuchanja ?? Naona barakoa hataki kabisa !! Jamaa ana msimamo usioyumba !![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chakubanga
Jamaa hayumbishwi na MTU!!Polepole the genius.
Hilo ndiyo deal??Ubunge unaweza kukagua gwaride la heshima?
Kulipa kwa maana ya pesa mkuuUbunge unaweza kukagua gwaride la heshima?
Nadhani jamaa kauiiza katika engo ya kiuchumi zaidi (mshahara, allowances na other benefits).Ubunge unaweza kukagua gwaride la heshima?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.
View attachment 2263066
Hilo igizo hataki kulichezaAmechanja chanjo ya uviko au hakuchanja ?? Naona barakoa hataki kabisa !! Jamaa ana msimamo usioyumba !!
Polepole hana tofauti na bwana yule. Hawa watu tuwe nao makini sana tusije rudia kumuweka kichaa IkuluPolepole the genius.
www.Mipasho.comKatibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.
View attachment 2263066