DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
Habari members, Jamani mimi nikipata malaria 4 ni balaa nahisi kufa, Hali inakuwa mbaya sana. Zamani sana kuna jirani yangu alikuwa na 100, nilishangaa sana, alikuja kupona kwa shida sana, Sasa najaribu kufikiria wadudu 100-150, na hii sidhani kama ni kitu cha kawaida, Huyu mtu imekuaje mpaka afikishe 100-150. wataalam hebu tupeni elimu ya hii kitu, inakuaje mpaka mtu unafikisha kiasi hicho!!, au kunakuwa na tatizo llingine linalofanya ufikishe kiasi hicho.
Ufafanuzi tu inakuaje mpaka inafika 100-150, na wewe upo kawaida tu.
Ufafanuzi tu inakuaje mpaka inafika 100-150, na wewe upo kawaida tu.