Ila wanaume😂😂😂Jamani msituchoke sisi ambao tupo kwenye ndoa pale tunapokuwa tunatoa malalamiko yetu kwenye mitandao ya kijamii
Wengine ndo njia yetu ya kuondoa stress any way jana usiku nilinyimwa tendo la ndoa na mke wangu naumia sana
Et jamani 😂 😂Tumeshawachoka na nyie ndo mnafanya jf imekua sehemu ya kutatulia matatizo ya ndoa....
mbona sisi kwenye ndoa zetu zinapigwa ngumi kila siku na hatujawah leta malalamiko humu?