luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,361
- 6,966
Ukinunua kifurushi cha G1 hawa jamaa wana fyeka mbayaaa yaan Mbs hazidumu kabisaaa
Kasi ni ya kobe ila izo mbs wana fyeka kwa kasi ya supersonicWamesharudisha kasi ama wanafyeka kwa kasi yao ya kobe?
Wameigomesha makusudiNikajua ni peke yangu tu...afu option ya kuangalia salio la bando inagoma!
Mbona TTCL wapo vizuri mimi Tigo 3GB zinakatika hata hujui zimekatika vipi.Ukinunua kifurushi cha G1 hawa jamaa wana fyeka mbayaaa yaan Mbs hazidumu kabisaaa