DOKEZO Malalamiko juu ya Benzamini Mkapa Hospital

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Zombi Mweusi

JF-Expert Member
Feb 9, 2017
842
1,743
Habarini wana jamvi,

Kumekuwa na malalamiko kwa Watanzania wanaotumia huduma ya hospital ya Benjamini Mkapa hasa kwa watu ambao ndugu zao hufanyiwa upasuaji wakidai kuwa ukifanyiwa upasuaji hospitalini hapo kuna uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha

Upasuaji unaolalamikiwa kuchukua maisha ya watu kimasihara kuanzia kwenye korodani kupanda juu hadi kichwani kwa mantiki hiyo hospitali inawataalamu wa upasuaji wa miguu na mikono

Hebu tafakari hospital kubwa kama ile wa kuacha pamba kwenye tumbo la mama mjamzito ,
Wakuu naandika haya nikiwa nimeshuhudia watu nao wajua 5 wakipoteza maisha pale,au ndo wanatuthibitishia maneno ya mtaani kuwa ukienda kwa mkapa hutoki huu ni msemo maarufu dodoma

Cha ajabu mortuary hata mwili wa mtu wako ukikaa saa moja tu 60000

Najua kuna watu mmepoteza wapendwa wenu na mkahisi kuna uzembe mahali ni muda wenu wa kutoa dukuduku tuweza kuuhabarisha umma
 
Kila hospitali kubwa mpya inashutumiwa,wapelekeni mnakoamini kuzuri
 
Nasindikizia na picha mkuu japo sijui ukweli wa tuhuma hizo
p_6832124121384522232757_0_5e7075bc9850341bc4dd7edf10dd5eca.jpg
 
Nadhani tuwe fair tunapotoa lawama kwa taasisi kama hospitali. Hospitali hizi zinaona zaidi ya wagonjwa laki moja kwa mwaka. Tunataka tuseme kila mgonjwa anayeonwa hapo ana malalamiko hayohayo? Yaani wale madaktari wanayofanya ni mambo ya hovyo mwanzo mwisho?

Jamani wale watumishi wa afya nao wamelelewa kwenye mazingira haya haya tuliyokulia sisi. Ni kaka zetu na dada zetu. Hawajaumbwa katika mazingira maalumu au hawakupewa vitu vya ziada hadi tuwaone kama malaika. Kama kuna mapungufu tuyaseme, lakini tusifanye huduma zao kuwa ni mbovu na kwamba hawana maana.

By the way, sisi maeneo yetu tunatoa huduma zenye ubora kiasi gani? Au kwa sababu sisi hatufanyi kazi hospitali? TUJITAFAKARI.
 
Nadhani tuwe fair tunapotoa lawama kwa taasisi kama hospitali. Hospitali hizi zinaona zaidi ya wagonjwa laki moja kwa mwaka. Tunataka tuseme kila mgonjwa anayeonwa hapo ana malalamiko hayohayo? Yaani wale madaktari wanayofanya ni mambo ya hovyo mwanzo mwisho?

Jamani wale watu tumekuwa nao kwenye mazingira haya haya tuliyokulia sisi. Hawajaumbwa kwa vitu vya ziada hadi tuwaone kama malaika. Kama kuna mapungufu tuseme, lakini tusifanye huduma zao kuwa ni mbovu na hawana maana.

By the way, sisi maeneo yetu tunatoa huduma zenye ubora kiasi gani? Au kwa sababu si hospitali?
Habarini wana jamvi,

Kumekuwa na malalamiko kwa Watanzania wanaotumia huduma ya hospital ya Benjamini Mkapa hasa kwa watu ambao ndugu zao hufanyiwa upasuaji wakidai kuwa ukifanyiwa upasuaji hospitalini hapo kuna uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha

Upasuaji unaolalamikiwa kuchukua maisha ya watu kimasihara kuanzia kwenye korodani kupanda juu hadi kichwani kwa mantiki hiyo hospitali inawataalamu wa upasuaji wa miguu na mikono

Hebu tafakari hospital kubwa kama ile wa kuacha pamba kwenye tumbo la mama mjamzito ,
Wakuu naandika haya nikiwa nimeshuhudia watu nao wajua 5 wakipoteza maisha pale,au ndo wanatuthibitishia maneno ya mtaani kuwa ukienda kwa mkapa hutoki huu ni msemo maarufu dodoma

Cha ajabu mortuary hata mwili wa mtu wako ukikaa saa moja tu 60000

Najua kuna watu mmepoteza wapendwa wenu na mkahisi kuna uzembe mahali ni muda wenu wa kutoa dukuduku tuweza kuuhabarisha umma
 
Back
Top Bottom