Malalamiko: ABIRIA kutokea KIGOMA

Malalamiko: ABIRIA kutokea KIGOMA

Wanaume wa dar bana mko busy kuisema kigoma mtuwacheeee
 
Kigoma ni nchi inayopakana na Tanzania upande wa Mashariki yake, na upande wa kaskazini Magharibi yake inapakana na Burundi, Upande wa Magharibi yake unapakana na DRC kupitia Ziwa Tanganyika, ni nchi isiyokuwa na Utawala wake (non Autonomous).
Kama vipi tuwauzie Burundi hii kigoma Mana
 
Sio barabara tu na umeme na maji now days ni kero
 
Hivi wale majambazi wa kuteka & kupora wanaoperate mitaa hizo
 
Vumbi linapatikana kwa wingi kasulu hadi nyakanazi...njia ya Tabora vumbi ni kipande kidogo hasa maeneo ya Tabora...kwa kigoma sio sana.
 
Msiisahau Geita kwa vumbi nayo imo kwenye list.
 
Kulikua na route zamani ya Dodoma-Iringa enzi hizo hamna lami kupitia Nyang'oro , siku 2-3 mko njiani mpaka ufike una matope mwili mzima
Njiani humo mnakua mpaka ndugu, kuna wamasai, wagogo, kabila zingine yaani poa tu ilikua mradi tufike.
Mnakua marafiki maana gari ikikwama mnashuka mnapush itoke ikitoka mnazama garini story kibao safari inaendelea.
Mbabe ile route alikua King Cross, akifuatiwa na Urafiki (mayai sana)
Hapo unawaza mfike Mtera tu ule wali samaki ila mshike mshike njiani huko si mchezo.
 
Umegundua kama hizi picha mbili zote zina basi kwenye background? Isipokua nyingine basi limepinduka?

Unajua kama jamaa wa kwenye picha ni ripota maarufu nchini mmiliki blog maarufu na hii picha alishea mitandaoni kuonyesha hiyo ajali?

Irrelevant evidence kuthibitisha madai yako is whack.
Dunia inamtambua kama meme maarufu wahindi wanamtumia sana huyu mwamba 😂
 
Aisee umenikumbusha 2010-2011 safari ya Iringa- Dodoma kupitia njia ya mtera. Kwanza mwanzo wa safari niliona abiria wananunua mifuko ya plastic mikubwa wanafungasha mabegi pia wakishaingia kwenye gari wanavaa mizula( kofia) wanakunja suriali kabisa aisee mwisho wa safari nilipauka mabegi yangu hayatamaniki kabisa kwa lile vumbi.
 
Back
Top Bottom