Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 58,972
- 69,352
Kule Wanapanda Hayo Kutokana Na BarabaraMagari yote mabovu
Yanastaafia ruti ya kigoma
Kule Wanapanda Hayo Kutokana Na BarabaraMagari yote mabovu
Yanastaafia ruti ya kigoma
Hivi Kigoma ni Tz au nje ya nchi?
Kwenye BASI, mwingine uyuView attachment 1799467
Umegundua kama hizi picha mbili zote zina basi kwenye background? Isipokua nyingine basi limepinduka?Kwenye BASI, mwingine uyuView attachment 1799467
Kumbe hizi Adventure na Saratoga tunazoziona huku Dar huwa zinakula hilo vumbi la enzi za mkoloni.kigoma sijui kwa nn iliachwa nyuma kipindi chote hicho.
ila Hayati Magufuli ali onyesha mapenzi ya dhati na nia ya kuifungua Kigoma na kweli sasa Lami inatandazwa kuanzia Manyovu mpaka uvimza, na kutokea Uvinza mpaka kaliua.
Adventure,Saratoga,Takbir,Majinja,Ntomola,Satco,AN,Na Nyingine Zote Zinapwia Vumbi BhalaaKumbe hizi Adventure na Saratoga tunazoziona huku Dar huwa zinakula hilo vumbi la enzi za mkoloni.
Nikitaka kwenda Kigoma kumbe itabidi niishie Tabora kwa gari then niungishe kwa treni ili nikwepe hiyo adha ya vumbi





Ndio maana baadhi ya watu wanaoenda kigoma(kama hawana haraka) huwa wanapanda treni, nilidhani sababu ni nauli ila hata hilo vumbi laweza kuwa sababuAdventure,Saratoga,Takbir,Majinja,Ntomola,Satco,AN,Na Nyingine Zote Zinapwia Vumbi Bhalaa
Nimeishi Kigoma Vumbi Kule Hatari Kuna Nguo Kasulu Kibondo Buhigwe KakonkoNdio maana baadhi ya watu wanaoenda kigoma(kama hawana haraka) huwa wanapanda treni, nilidhani sababu ni nauli ila hata hilo vumbi laweza kuwa sababu
Ukisimama Manyovu Mnanila Ndiyo Ukweli UnadhihirikaKigoma sio Tanzania![]()
ili viongozi wetu wanapo pata ziara ya kwenda KIGOMA huwa wana kwepa kwenda kwa barabara na badala yake wanatumia ndege. Isipokuwa Hayati JPM pekee ndiye amewahi kwenda Kigoma kwa njia ya barabara.Kumbe hizi Adventure na Saratoga tunazoziona huku Dar huwa zinakula hilo vumbi la enzi za mkoloni.
Nikitaka kwenda Kigoma kumbe itabidi niishie Tabora kwa gari then niungishe kwa treni ili nikwepe hiyo adha ya vumbi
Kwa hiyo mwendazake hakuona umuhimu wa kutia mkeka? Au upande huo haukuwa kipaumbele.ili viongozi wetu wanapo pata ziara ya kwenda KIGOMA huwa wana kwepa kwenda kwa barabara na badala yake wanatumia ndege. Isipokuwa Hayati JPM pekee ndiye amewahi kwenda Kigoma kwa njia ya barabara.
Ipo drc congo mzee Tanzania hatuna vumbi la hivo.Kigoma itakua haiko nchini
Gari bovu lifike Kigoma? Kabisaaa?Magari yote mabovu
Yanastaafia ruti ya kigoma
Duh hii route si mchezoChuma Coast Line Kigoma ~Arusha
Huko Bhalaa
Kigoma,Kasulu,Kibondo,Kakonko,Kahama,Nzega,Igunga,Iramba,Singida ~Arusha
Unakaa Mpaka Unatamani KusimamaDuh hii route si mchezo
Ova