Makutano Show
Member
- Aug 3, 2012
- 21
- 65
Wana-JF
Jumamosi hii katika kipindi cha Makutano kuanzia saa tisa mchana nitakuwa na Profesa Ibrahim Lipumba. Nitazungumza nae kuhusu mambo yanayogusa medani ya kisiasa, na pia mtazamo wake kuhusu hali ya nchi kwa sasa. Kama ilivyokuwa kwa vipindi vingine napenda kupata maswali toka hapa jamvini ambayo atayajibu moja kwa moja. Kipindi kinakuwa hewani kupitia Magic FM, 92.9 Dar, 93.3FM Dodoma, 98.6FM Arusha/Moshi, 101.7FM na pia online: MakutanoShow on USTREAM: Makutano na Fina Mango. Radio
Karibu.
Jumamosi hii katika kipindi cha Makutano kuanzia saa tisa mchana nitakuwa na Profesa Ibrahim Lipumba. Nitazungumza nae kuhusu mambo yanayogusa medani ya kisiasa, na pia mtazamo wake kuhusu hali ya nchi kwa sasa. Kama ilivyokuwa kwa vipindi vingine napenda kupata maswali toka hapa jamvini ambayo atayajibu moja kwa moja. Kipindi kinakuwa hewani kupitia Magic FM, 92.9 Dar, 93.3FM Dodoma, 98.6FM Arusha/Moshi, 101.7FM na pia online: MakutanoShow on USTREAM: Makutano na Fina Mango. Radio
Karibu.