Makutano Show: Exclusive Interview na Prof Ibrahim Lipumba

Makutano Show: Exclusive Interview na Prof Ibrahim Lipumba

Swali gumu ni hili la huyu ndg kwamba " Muulize kwanini yeye hana mke lakini Chama chake cha CUF kina mume?
SWALI hili linahitaji maeleza ya ziada kwanza maanake limekaa ndivyo sivyo kumuliza Prof.
 
Hembu muulize anazungumziaje suala la CUF kuwa na faida kwa CCM zaidi ya upinzani kwa ujumla kimatendo.
 
hamna wanasiasa wengine wa kuwahoji jamani, tukifungua tv lipumba tukiwasha radio lipumba aah na hana lolote jipya zaidi ya kutetea waislam tumemchoka
 
Muulize chama chao hakina watu wengine competent wa kugombea Urais? Mbona kila siku ni wale wale tu? Hawaoni kwamba wao hawakubaliki ndo maana hawashindi. Wajaribu kuwasimamisha watu wengine waone.
Ndio maana sisi CDM mgombea wetu wa uraisi 2015 ni Zitto Kabwe, Z. hivyo na CUF watafute mwingine kijana aweze kushidana na political machinery ZZK
 
hamna wanasiasa wengine wa kuwahoji jamani, tukifungua tv lipumba tukiwasha radio lipumba aah na hana lolote jipya zaidi ya kutetea waislam tumemchoka
Mkuu unaiharibia CDM, unaposema vibaya kuhusu waislam, kwani hawa ni wadau wakubwa wa change katika nchi hii. Nawashauri wanaJF... hata kama wewe unachukia kuwa muislam usiyaseme humu maana maandishi haya yakiandikwa hayafutiki...tutakosa kura za watu hawa! maana pia ni wengi sana kuliko wengine. hivyo tuachane kabisa na hizi mambo za chuki na waislam
 
Kwa nini mnapenda kuhukumu chama kwa vimvuli?

Mkuu unaiharibia CDM, unaposema vibaya kuhusu waislam, kwani hawa ni wadau wakubwa wa change katika nchi hii. Nawashauri wanaJF... hata kama wewe unachukia kuwa muislam usiyaseme humu maana maandishi haya yakiandikwa hayafutiki...tutakosa kura za watu hawa! maana pia ni wengi sana kuliko wengine. hivyo tuachane kabisa na hizi mambo za chuki na waislam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom