Makundi ya kumsafisa RC Dar!

Yaani jina la Makonda halitajiki tena hapa jf utadhani viungo vya uzazi!
 

Nimecheka kwa sauti ya juu
 
Ana Kona jipya Siku hizi

DAUDI ALBERT SITUMBULIKI

weweeeeee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 


Kuna vitu ukijaribu kuvisafisha unajikuta unajichafua wewe binafsi.
 
Kweli Mauharo!!!
 
Narrow minded and boring
Fanyeni kazi bwana na sio kutamia jf kutwa kucha.
Halafu kiupuusi kabisa utasena hatuna maendeleo, uchumi wa ichi umeporomoka!!!!
 
Ni kweli je kama gwajima na mbowe wasingetajwa ktk tuhuma za madawa ya kulevya haya yasingemkuta,usitake kutulazimisha tuamini kila wa wazo linalotoka ktika kichwa chako ni sahihii,ukweli ttz kwa makonda limekuja bahada ya kutajwa kwa mbowe na gwajima ktk tuhuma za madawa ya kulevya na bila kutafuna maneno na watu wengi haswa wachocheaji wa kubwa kuahakikishwa makonda anadhalilishwa wana mahusiano na chadema waumini wa gwajima na hata watu wa kanda furani ambao wao uamini ktk ukanda na mbowe km symbols wa kanda yao wote ni mahadui wa makonda,mungu atamlinda dhidi ya ma wakala wa wauza unga.
 
hayo ni mawazo yako finyu mno ongeza juhudi mbowe atakupa kazi ya housegirl
Safi sana tena hata kumfanya nyumba ndogo yake

Hee imeshakuwa dili tena Msile peke yenu jamani
 
na team vyeti fake wazee wa 0, kuzungusha yani
 
Anasafishwa ana uchafu ? Endeleeni kuishi kwa matukio muda si wananchi tutawapuuza.
 
NA KAMA RC AKABAKI MADARAKANI WEWE UNAWASHWA NA NINI KTK MWILI WAKO,SI UMWAMBIE TU RC HAKUSAIDIE KUKUNA,NA WEWE TUMIA TU 3D CAPACITY THINKING
 
Lumumba buku 7 hawawezi kukuelewa mkuu.Si unaona lizaboni anavyobadilika kufuata upepo njaa mbaya sana
 
Mimi ni makonda team. tena leo mmenifurahisha zaidi wahariri wamekogoma kuandika habari za makonda hiyo ni habari njema kwetu maana sasa umma utakuwa aupati chochote toka kwa kwenu. kwa maana nyingine mjaadala umefungwa tunawatakia utekelezaji mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…