Makundi manne ya binadamu

nilikuwa nayafahamu yale makundi manne ya socrate asa haya naona yana category

Yap! Yale ya Socrates ndio chimbuko kubwa la hizi theory, tatizo ni kwamba za Socrates ni za kizamani na zimeegemea zaidi kwenye mambo ya Astrology! Hizi za sasa zimebase kwenye mental/Psychological na clinical na zimekuwa proved na scientific researches!
...
Hongera sana kama na wewe unapenda kusoma doctrines za Great thinkers wa ukweli!
 
Mashaxizo

still no group fits me, hata hili uliloliongeza bado halijaweza kuonyesha sifa zangu. I STILL DONT AGREE TO ALL THESE. najijua mwenyewew, hakuna group linaloweza kuniweka ndani yake
 
Last edited by a moderator:
Wewe utakuwa kundi lile la pili kwani ni mgumu wa kuelewa

ni kitu gani umenielewesha nikashindwa kuelewa? katika masomo yote somo la hesabu ndio somo linalopima uwezo wa mtu kuelewa na kukumbuka kwa haraka zaidi na ni somo pekee linalotumika kuongeza kasi ya kuelewa na kukumbuka na hata katika watu wote duniani wanaosadikika kuwa na akili nyingi zaidi WOTE WALIKUWA MOTO WA KUOTEA MBALI KWENYE HESABU, AKINA GALILEO, NEWTON NA SIR EISTEN, lakinikwa muda wote toka nikiwa olevel i was the fasted to understand in class, advancced too, hesabu ilikuwa ni somo ambalo haijawahi kusumbua ubongo wangu kila walimu waliponifundisha, hata chuoni somo la hesabu naelewa kwa haraka zaidi kiasi ambacho ukiwauliza walimu wangu wangetaka wanafunzi wanaoelewa kwa haraka zaidi kama mimi.

hiki mlichokileta hapa ni uongo. nikiorodhesha sifa zangu hapa alafu nikwambie uniweke katika moja ya makundi yaliyoanishwa hautapata hata moja.
 
still no group fits me, hata hili uliloliongeza bado halijaweza kuonyesha sifa zangu. I STILL DONT AGREE TO ALL THESE. najijua mwenyewew, hakuna group linaloweza kuniweka ndani yake
Mshinga kwa ubishi hujambo! Mwee! Mpaka nimeliona kundi lako!

Ivi unajua kwanini ulikuwa unaanzisha mada mia kwa siku moja?

Embu angalia underlines!

Extrovert:

Hili ni kundi kuu la pili linaloundwa na
binadamu wenye uwezo wa
kawaida wa kiakili.
Uwezo
wao wa kuchanganua mambo
ni wa kawaida,
hawajishughulishi kujua mambo yasiyo na manufaa na
ni wepesi wa kuridhika hata
kwa mafanikio madogo.

Sanguine-
Kundi hili linaundwa na binadamu
wenye uwezo wa kawaida
wa kiakili, kufikiri na
kuchanganua mambo (wakati
mwingine huwa na uelewa
mdogo). Ni wacheshi, wanapenda sifa, wanapenda
kusikilizwa kuliko
kuwasikiliza wenzao na
hupenda kuwa wazungumzaji
wakuu kwenye kila jambo
hata kama hawana ufahamu nalo.
Ni wagumu wa kutunza
siri.
Hawapendi kujifunza mambo
mapya
na hata
wakifundishwa husahau
haraka. Wanapenda sana kuonekana kwa watu kwa
kila jambo wanalolifanya hata
kama ni dogo. Si waaminifu
katika mapenzi na siyo ajabu
kuwakuta wakiwa na
wapenzi wengi kwa wakati mmoja.

Extrovert wanapenda
sana kuzungumza na
kubishana mbeleya wengine
hata kama hawana uhakika
juu ya kile wanachokibishia.

...
Nimeona na posti yako juu hapo ukiongelea performance yako ya hesabu.
Umekariri Mshinga!

Hayo makitu yanategemea umeangukia wapi ktk scale!
Haiwezekani uwe 100% Introvert, haiwezekani uwe 100% extrovert na haiwezekani uwe 100% ambivert!

Angalia scale:

3016031-inline-scale.png


Endeleza nature yako ya ubishi kwa usivyovijua! Teh teh teh!
 
Hamna mantiki yyte ya hii k2.mtu amekaa na kuanza kuchambua baadhi ya tabia za w2 duniani, wapole/wakimya na wusheshi.
Kwa uchambuzi huo inamaanisha 98% ya wanawake wote duniani wapo kundi la 2 na wanaume takribani 98% wpo kundi la 1(b).
 
Kweli,haina ukweli wwte na kama ni kweli basi 98% ya wanawake wote duniani wpo kundi la 2 na wanaume 98%wpo kundi la 1(b)
 
Mashaxizo
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha , mtalazimisha sana, A BIG NO. hata kidogo NARUDIA TENA, HAKUNA GROUP KATI YA HAYA UNAYOSEMA UMEGUNDUA.

kuhusu uaminifu, nadhani hata thread yangu ya story ya kweli juu ya mpenzi wangu hukuwahi kuiona.

uelewa wangu naujua mwenyewe, tatitizo ni kitu kimoja, my IQ is not to a normal extent na huwa siamini lolote mpaka hakili yangu ukubali baada ya kufikiri na si kuangalia aliandika nani ama alifanya utafiti nani,

hivi unajua kwa nini theories katika masomo yote zinabadilika kila siku zikisonga?

kwa kukusaidia tu, mara nyingi vitu vingi haviko 100% correct na ndio maana watu wachache sana wenye uwezo usio wa kawaida wa kufikiri ndio pekee wanaweza kufikiri beyond the line of normal thinking na mwisho wanafanya marekebisho kwa ushahidi na hapo theory zinabadilishwa.

mathalani, Newton toka afariki, ilichukua mud wa miaka mia mbili ndio mtu wa kumkosoa akapatikana na hakuwa mwingine bali ni sir EISTEN , NA HAKUNA UBISHI KUWA HAYO YOTE YALIYOELEZWA YANA MAPUNGUFU MAKUBWA SANA ILA KWA WATU WENYE UWEZO WA KAWAIDA WA KUFIKIRI HAWAWEZI KUONA NA LAZIMA WAKUBALIANE NA KILA KITU.

HIVI HUJIULIZI, MTU ANATENGENEZA KUNDI LA WATU WENYE AKILI FULANI ALAFU ANATOA SIFA ZAO KUWA KUNDI HILI WANAPENDA SANA KUVAA VITO NA UREMBO AMA MIKUFU,

JE HUONI KAMA NI KICHEKESHO? kuna maeneo hakuna hiyo mikufu ama hayo mavazi, na mavazi hayaongezi akili ila watu wanavaa kulingana na kinachopatikana kwenye soko ama eneo lile, huwezi kuniambia kwa kuwa usukumani,umasaini, hakuna watu wenye akili kiwango kinachotajwa kwa sababu tu eti hawavai mavazi ama nadhifu kwa kuwa apo mbugani wanachunga na maisha yao yamejengwa juu ya ng'ombe.

watu wanafanya utafiti ulaya alafu wana assume wamefanya utafiti dunia nzima na katika jamii zote, of which is vey wrong.

WANGEENDA KUFANYA UTAFITI KWA WAMANG'ATI AMA WABALIBAIGI AMA WASANDAWE USINGEWEZA KUONA WANATAJA MAVAZI, AMA MIKUFU YA GOLD MAANA HUKO NI KITENDAWILI PAMOJA NA KWAMBA KILA JAMII INA WATU WA AINA ZOTE.

ALAFU HAO WATAFITI KWA AKILI ZAO NDOGO WANASHINDWA KUJUA KUWA TABIA WAKATI MWINGINE ZINATEGEMEA NA TAMADUNI ZAJAMII FULANI, MALEZI, NK PIA MAVAZI NA UNADHIFU VIATEGEMEA NA MAMBO MENGI SANA, IKIWEMO UWEZO WA KIFEDHA KUNUNUA HIVYO VITU.

LEO NI WATU WANGAPI AMBAO WANAISHIA KUTAMANI TU VITU FULANI, ILA KWA KUWA HELA HAWANA WANALAZIMIKA KUVAA MAVAZI YA KAWAIDA KWA KUWA HAWANA HELA.

ANGALIA TABIA ZA WANAMZIKI, KARIBU WOTE WANAONEKANA KUVAA MAVAZI NADHIFU, LAKINI HUO NI UTAMADUNI WA KAZI YA MUZIKI ILA HUWEZI UKASEMA HIZO NI AKILI.

UTAMADUNI WA NCHI YA MAREKANI KATIKA MAVAZI NI TOFAUTI NA UTAMADUNI WA NCHIYA INDIA KATIKA MAVAZI.

NIISHIE HAPA.
 
Last edited by a moderator:
Mashaxizo

tatizo watu wakisikia neno sayansi wanachanganyikiwa kwa sababu hawaijui sayansi, unafikili kila utafiti wa sayansi ni sahihi? kama ingkuwa hivyo watu wasingekuwa wanabadili theory

mwaka 2012, kwenye olympic, mbio za relay kwa wakimbiaji wa JAMAICA, USAIN BOLT,BLAKE NA MWINGINE WA TATU SIMKUMBUKI, WALIWEZA KUDISPROVE KIKOMO CHA BINADAMU KWENYE KASI WALIPOKIMBIA JUU YA MUDA AMBAO BINADAMU ANA UWEZO WA KUKIMBIA, WAKAVUNJA REKODI ZA NYUMA NA WAKAWAFANYA WANASAYANSI WAKILI KWA MARA YA KWANZA KUWA KUMBE BINADAMU ANA UWEZO WA KUKIMBIA KWA KASI ZAIDI KULIKO ILIYOTHIBITIKA KISAYANSI.

Mkisikia neno sayansi msiogope, if you have a point to argue just argue na hapo ndipo unaweza kuibuka shujaa kw kuleta kitu kipya.

HATA MSINGI MKUU WA SAYANSI YOYOTE UNASEMA. ANYTHING IN SCIENCE CAN BE PROVED OR DISPROVED.

ungekuwa unaijua vizuri sayansi ungekuwa unalitambua hili na usingenishangaa kuinga tafiti a kisayansi.
 
Last edited by a moderator:
Maelezo aliyoleta mtoa mada ni kama utangulizi tu, bahati mbaya natumia simu hivyo siwezi kutoa maelezo marefu, ila kiufupi tu ni kwamba wewe upo kwenye group mojawapo wa hayo.
Nikikusoma katikati ya mistari kupitia thread na comment zako unaonekana ni pure sanguine ila una mchanganyiko wa choleric(sijui nje JF ukoje) au unaweza kuweka baadhi ya tabia zako hapa halafu nikwambie wewe ni nani kat yao

hiki ni kitu cha ajabu kidogo, kwani wingi wa maelezo ndio ukweli? ukweli unadhihirika hata kwa sentensi moja tu.

hv umesoma hoja zangu? nilichosema ni kwamba, sifa zangu zote ambazo zinanitambulisha mimi kama mimi, ukisoma kwenye hayo maelezo unayoyait ya utangulizi utaziona karibia silimia 95.

lakini tatizo linakuja kuwa, hizo sifa zangu zimeingia katika makundi zaidi ya matatu ,na katika makundi hayo tena kuna sifa sifa zimetajwa kuwa ni za watu wa makundi hayo mimi sina. HOW CAN YOU PLACE ME IN A GROUP THAT LIES PEOPLE.

huwezi kuniweka kwenye kundi ambalo ninapungukiwa sifa hata moja kwenye kundi, ama kwenye kundi ambalo lina sifa za ziada ambazo sina.
 
Mshinga

Hii ni mada nyengine ambayo unataka tuijadili!
No problema let me do so!

Sayansi kama sayansi haijawahi kujiproof wrong kwa ithibati ya uwepo wa kitu fulani!

Observation inayopatikana ktk sayansi ni prood tosha ya uwepo wa kitu fulani! Nakubali kwamba mabadiliko ya kitu kilichovumbuliwa mwanzo hutokea but hutokea kwa kuongezea maboresho yaliyoachwa na sio kuproof wrong kwa observation za mwanzo! Na kama kipo naomba mfano.
...
Sayansi mapungufu yake ni pale tu inaposema kitu fulani hakipo kwa sababu tu imeshindwa kukiona!
...
Mimi sijakariri mshinga!

The law of life is BELIEF. To be in safe side submit yourself to the scientific truth! By: Joseph Moophy.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha , mtalazimisha sana, A BIG NO. hata kidogo NARUDIA TENA, HAKUNA GROUP KATI YA HAYA UNAYOSEMA UMEGUNDUA.

kuhusu uaminifu, nadhani hata thread yangu ya story ya kweli juu ya mpenzi wangu hukuwahi kuiona.
Hahahahahahaa! Si unaona ulivyokariri? Kitendo cha kutocoment ktk sired yako umeshaconclude sikuiona! Teh teh teh!

Ukweli gani uliungea mle?
Ivi ni kweli mada ndefu kama ile umejielezea mwenyewe bila ya kujiwekea udhaifu wowote afu unasema yote yale ni kweli? Are you perfect?

Embu jaribu na kupitia mada za psychology huenda ukaelewa nini namanisha hapa!

uelewa wangu naujua mwenyewe, tatitizo ni kitu kimoja, my IQ is not to a normal extent na huwa siamini lolote mpaka hakili yangu ukubali baada ya kufikiri na si kuangalia aliandika nani ama alifanya utafiti nani,
Hii ni sifa kuu ya mtu mbishi!
hivi unajua kwa nini theories katika masomo yote zinabadilika kila siku zikisonga?
Yap, Naelewa! But not as you think! The scope and limit of change must regard that kind of theory! Embu google hivi: 'What is epistimology?' hapo kuna basic za knowlege and how knowledge change!

kwa kukusaidia tu, mara nyingi vitu vingi haviko 100% correct na ndio maana watu wachache sana wenye uwezo usio wa kawaida wa kufikiri ndio pekee wanaweza kufikiri beyond the line of normal thinking na mwisho wanafanya marekebisho kwa ushahidi na hapo theory zinabadilishwa.

mathalani, Newton toka afariki, ilichukua mud wa miaka mia mbili ndio mtu wa kumkosoa akapatikana na hakuwa mwingine bali ni sir EISTEN , NA HAKUNA UBISHI KUWA HAYO YOTE YALIYOELEZWA YANA MAPUNGUFU MAKUBWA SANA ILA KWA WATU WENYE UWEZO WA KAWAIDA WA KUFIKIRI HAWAWEZI KUONA NA LAZIMA WAKUBALIANE NA KILA KITU.

HIVI HUJIULIZI, MTU ANATENGENEZA KUNDI LA WATU WENYE AKILI FULANI ALAFU ANATOA SIFA ZAO KUWA KUNDI HILI WANAPENDA SANA KUVAA VITO NA UREMBO AMA MIKUFU,

JE HUONI KAMA NI KICHEKESHO? kuna maeneo hakuna hiyo mikufu ama hayo mavazi, na mavazi hayaongezi akili ila watu wanavaa kulingana na kinachopatikana kwenye soko ama eneo lile, huwezi kuniambia kwa kuwa usukumani,umasaini, hakuna watu wenye akili kiwango kinachotajwa kwa sababu tu eti hawavai mavazi ama nadhifu kwa kuwa apo mbugani wanachunga na maisha yao yamejengwa juu ya ng'ombe.

watu wanafanya utafiti ulaya alafu wana assume wamefanya utafiti dunia nzima na katika jamii zote, of which is vey wrong.

WANGEENDA KUFANYA UTAFITI KWA WAMANG'ATI AMA WABALIBAIGI AMA WASANDAWE USINGEWEZA KUONA WANATAJA MAVAZI, AMA MIKUFU YA GOLD MAANA HUKO NI KITENDAWILI PAMOJA NA KWAMBA KILA JAMII INA WATU WA AINA ZOTE.

ALAFU HAO WATAFITI KWA AKILI ZAO NDOGO WANASHINDWA KUJUA KUWA TABIA WAKATI MWINGINE ZINATEGEMEA NA TAMADUNI ZAJAMII FULANI, MALEZI, NK PIA MAVAZI NA UNADHIFU VIATEGEMEA NA MAMBO MENGI SANA, IKIWEMO UWEZO WA KIFEDHA KUNUNUA HIVYO VITU.

LEO NI WATU WANGAPI AMBAO WANAISHIA KUTAMANI TU VITU FULANI, ILA KWA KUWA HELA HAWANA WANALAZIMIKA KUVAA MAVAZI YA KAWAIDA KWA KUWA HAWANA HELA.

ANGALIA TABIA ZA WANAMZIKI, KARIBU WOTE WANAONEKANA KUVAA MAVAZI NADHIFU, LAKINI HUO NI UTAMADUNI WA KAZI YA MUZIKI ILA HUWEZI UKASEMA HIZO NI AKILI.

UTAMADUNI WA NCHI YA MAREKANI KATIKA MAVAZI NI TOFAUTI NA UTAMADUNI WA NCHIYA INDIA KATIKA MAVAZI.

NIISHIE HAPA.
Hahahahahahahahaaa!
Si unaona ulivyokariri hapo?
Mavazi ni mfano wa uvaaji ktk hali ya ugeneral! [town na ng'ambo/uswazi] hao wa kijijini watajionesha kwa mapambo yoyote yatakayowatofautisha na wengine! Main point ni kwamba wanavaa in extra ili kucatch attention za watu!

Na jee unataka kuniambia kuwa wanamuziki na mastaa wa fani nyengine WOTE wanavaa hivyo unavyoDHANI WEWE?

Jee unamfahamu yule kijana alieanzisha fesibuku?
Na jee unaelewa psychologia ya mastaa?

Hahahahahahahahaaa!
 
Mashaxizo

samahani, kwani wewe umesoma masomo ya sayansi kabla sijasema chochote? maana nitakuwa pengine nakudhaliisha bure nikisema nianze kukuwekea ushahidi kumbe sayansi siyo fani yako.
 
Last edited by a moderator:
Mashaxizo Yap, Naelewa! But not as you think! The scope and limit of change must regard that kind of theory! Embu google hivi: 'What is epistimology?' hapo kuna basic za knowlege and how knowledge change!


Hahahahahahahahaaa!
Si unaona ulivyokariri hapo?
Mavazi ni mfano wa uvaaji ktk hali ya ugeneral! [town na ng'ambo/uswazi] hao wa kijijini watajionesha kwa mapambo yoyote yatakayowatofautisha na wengine! Main point ni kwamba wanavaa in extra ili kucatch attention za watu!

Na jee unataka kuniambia kuwa wanamuziki na mastaa wa fani nyengine WOTE wanavaa hivyo unavyoDHANI WEWE?

Jee unamfahamu yule kijana alieanzisha fesibuku?
Na jee unaelewa psychologia ya mastaa?

Hahahahahahahahaaa![/QUOTE]

am so tired, make it later, nitrudi kujibu, sasa nilale nimechoka sana
 
Last edited by a moderator:
samahani, kwani wewe umesoma masomo ya sayansi kabla sijasema chochote? maana nitakuwa pengine nakudhaliisha bure nikisema nianze kukuwekea ushahidi kumbe sayansi siyo fani yako.

Hahahahahahaaa! Be free, say whatever you wish!

Hata wewe uliesoma sayansi hujaisoma yote!
But naamini kuna general principles za sayansi umezisoma!

Just proceed!
 
Back
Top Bottom