fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,619
- 9,163
Kama boro halifanyi kazi kwanini uoe? Unless tatizo limekukuta ukiwa kwenye ndoa.Baadhi ya wanandoa hukubaliana mmoja wao achepuke.Kwa mfano mume mwenye dosari kwamba jogoo hawiki huongea na mkewe,akachepuke na mke hufanya hivyo,huku akimuarifu mumewe kila stage.Halikadhalika mke mwenye doasari humruhusu mmewe kuchepuka,na mara nyingi mke hutafuta mwanamke kwa ajili ya mumewe.
Hii dunia ukiona mambo ni bora kunyamaza tu kama vile huyaoni
Mambo ya dunia huyawezi,wapo ambao wanaoa au kuolewa wakiwa na dosari,lakini wapo ambao dosari huwakuta wapo kwenye ndoaKama boro halifanyi kazi kwanini uoe?
Zipo nyingi sanaKumbe kweli ndoa za ivi zipo nilijua Amna uku bongo 😎
kwakuwa hayajakukuta ndio unaongea hivyoUnanunuaje mifupa huna meno? Si unywe mtori usio na nyama?
Yapo sana japo najua mmoja anaumia sana maana huzaa kabisa na yeye hulea kuficha Siri ya mapungufu yakeBaadhi ya wanandoa hukubaliana mmoja wao achepuke.Kwa mfano mume mwenye dosari kwamba jogoo hawiki huongea na mkewe,akachepuke na mke hufanya hivyo,huku akimuarifu mumewe kila stage.Halikadhalika mke mwenye doasari humruhusu mmewe kuchepuka,na mara nyingi mke hutafuta mwanamke kwa ajili ya mumewe.
Hii dunia ukiona mambo ni bora kunyamaza tu kama vile huyaoni
Nawaza hii sheria ikija Tanzania naona kila mwanandoa atajifanya hana nguvu...Baadhi ya wanandoa hukubaliana mmoja wao achepuke.Kwa mfano mume mwenye dosari kwamba jogoo hawiki huongea na mkewe,akachepuke na mke hufanya hivyo,huku akimuarifu mumewe kila stage.Halikadhalika mke mwenye doasari humruhusu mmewe kuchepuka,na mara nyingi mke hutafuta mwanamke kwa ajili ya mumewe.
Hii dunia ukiona mambo ni bora kunyamaza tu kama vile huyaoni
stori za vijiweni zinafurahisha saana!!!👿Baadhi ya wanandoa hukubaliana mmoja wao achepuke.Kwa mfano mume mwenye dosari kwamba jogoo hawiki huongea na mkewe,akachepuke na mke hufanya hivyo,huku akimuarifu mumewe kila stage.Halikadhalika mke mwenye doasari humruhusu mmewe kuchepuka,na mara nyingi mke hutafuta mwanamke kwa ajili ya mumewe.
Hii dunia ukiona mambo ni bora kunyamaza tu kama vile huyaoni
wewe ni mtoto hujaona kitu na wala hayajakukutastori za vijiweni zinafurahisha saana!!!👿
hiyo sio sheria,ni matokeo ya maishaNawaza hii sheria ikija Tanzania naona kila mwanandoa atajifanya hana nguvu...
subiri siku yakikukutaHakuna Wana ndoa wenye akili timamu wanaeza kufanya huo ujinga,labda mataahira tu
kwa taarifa yako wanaume ndio wengi mno kufanya hivyoBaadhi ya wanawake huruhusu ila sio wanaume
Hivi hujui kuwa dosari inaweza kukuta upo kwenye ndoa na bado wewe na mkeo ni vijana,je utavinja hio ndoa?Kama huku chini hakupo vizuri unaoa ya nini sasa