MAKTABA TETEA: The Home of NECTA Past Papers

Mitch McDeere

JF-Expert Member
Feb 24, 2017
299
619
Habari ya wakati huu wakuu.
Poleni na majukumu mbalimbali ya kulijenga taifa.
Nikiwa mmoja wa wadau wa elimu nchini, napenda kutoa shukrani na pongezi zangu kwa TETEA Inc ambao ni waanzilishi, wamiliki na wasimamizi wa Maktaba Tetea.


TETEA Inc ni nani?
Kwa mujibu wa maelezo yao, TETEA Inc ni shirika lisilo la faida (nonprofit organization) lililoanzishwa mwaka 2008 na Peace Corps ambao walikuwa wamefundisha katika shule za sekondari nchini Tanzania. Lengo kubwa la TETEA Inc ni kusaidia watanzania katika sekta ya elimu. Mission Statement yao ni “To empower Tanzanians through education.” Shirika hili linajihusisha na mambo mbalimbali ya kielimu ila mimi nimeamua kuzungumzia suala la past papers.
Soma zaidi kuhusu TETEA Inc HAPA au HAPA.


NECTA PAST EXAMS (PAST PAPERS)
Kwenye website yao (Maktaba Tetea) wanatoa huduma ya past papers katika categories zifuatazo:


i) Standard Seven (PSLE) Exams (Bonyeza hapa kupata mitihani hii)

ii) Form Two (FTSEE/FTNA) Exams (Bonyeza hapa kupata mitihani hii)

iii) Form Four (CSEE) Exams (Bonyeza hapa kupata mitihani hii)

iv) Form Six (ACSEE) Exams (Bonyeza hapa kupata mitihani hii)

v) Qualifying Test (QT) Exams (Bonyeza hapa kupata mitihani hii)

Kwa hakika wamefanya jambo zuri na wametatua changamoto ya upatikanaji wa past exams za NECTA kuanzia elimu ya shule ya msingi mpaka kidato cha sita. Kilichobaki ni wanafunzi kutumia fursa hii kwa mafanikio zaidi ya kielimu.

Naomba kwa mdau yeyote mwenye resource link yoyote ya kielimu au mchango wa kielimu atushirikishe. Na pia kwa wale ambao walikuwa hawafahamu kuhusu Maktaba Tetea basi wawashirikishe ndugu, jamaa na marafiki walio katika level husika za elimu.
Ahsante.
 
Very good idears. But naona hapo kwa upande wa primary hawaja update papers. Last zipp za 2015. Vip za 2016 2017 je??
Hongera kwap

Yeah, unachokizungumza ni kweli. Maktaba Tetea wapo aware na hilo. Nimepita kwenye Page yao ya Facebook muda mfupi uliopita nimekuta hii:
IMG_20180930_063036_793.JPG


Pia kwenye Website yao, wameweka button ya Needed Exams. Hapo wametangaza kununua mitihani hiyo iliyokosekana kwa bei ya Tshs. 1000/= kwa kila mtihani, kwa yeyote aliyenayo.
Bonyeza hapa kufahamu zaidi
 
Yeah, unachokizungumza ni kweli. Maktaba Tetea wapo aware na hilo. Nimepita kwenye Page yao ya Facebook muda mfupi uliopita nimekuta hii:
View attachment 881902

Pia kwenye Website yao, wameweka button ya Needed Exams. Hapo wametangaza kununua mitihani hiyo iliyokosekana kwa bei ya Tshs. 1000/= kwa kila mtihani, kwa yeyote aliyenayo.
Bonyeza hapa kufahamu zaidi
Thanks for the informations.
 
Habari ya wakati huu wakuu.
Poleni na majukumu mbalimbali ya kulijenga taifa.
Nikiwa mmoja wa wadau wa elimu nchini, napenda kutoa shukrani na pongezi zangu kwa TETEA Inc ambao ni waanzilishi, wamiliki na wasimamizi wa Maktaba Tetea.


TETEA Inc ni nani?
Kwa mujibu wa maelezo yao, TETEA Inc ni shirika lisilo la faida (nonprofit organization) lililoanzishwa mwaka 2008 na Peace Corps ambao walikuwa wamefundisha katika shule za sekondari nchini Tanzania. Lengo kubwa la TETEA Inc ni kusaidia watanzania katika sekta ya elimu. Mission Statement yao ni “To empower Tanzanians through education.” Shirika hili linajihusisha na mambo mbalimbali ya kielimu ila mimi nimeamua kuzungumzia suala la past papers.
Soma zaidi kuhusu TETEA Inc HAPA au HAPA.


NECTA PAST EXAMS (PAST PAPERS)
Kwenye website yao (Maktaba Tetea) wanatoa huduma ya past papers katika categories zifuatazo:


i) Standard Seven (PSLE) Exams (Bonyeza hapa kupata mitihani hii)

ii) Form Two (FTSEE/FTNA) Exams (Bonyeza hapa kupata mitihani hii)

iii) Form Four (CSEE) Exams (Bonyeza hapa kupata mitihani hii)

iv) Form Six (ACSEE) Exams (Bonyeza hapa kupata mitihani hii)

v) Qualifying Test (QT) Exams (Bonyeza hapa kupata mitihani hii)

Kwa hakika wamefanya jambo zuri na wametatua changamoto ya upatikanaji wa past exams za NECTA kuanzia elimu ya shule ya msingi mpaka kidato cha sita. Kilichobaki ni wanafunzi kutumia fursa hii kwa mafanikio zaidi ya kielimu.

Naomba kwa mdau yeyote mwenye resource link yoyote ya kielimu au mchango wa kielimu atushirikishe. Na pia kwa wale ambao walikuwa hawafahamu kuhusu Maktaba Tetea basi wawashirikishe ndugu, jamaa na marafiki walio katika level husika za elimu.
Ahsante.
Tatizo past papers zao hawazi-type bali wanazipiga picha (low quality photographing) kisha wanaziweka kwenye website zao.
 
Tatizo past papers zao hawazi-type bali wanazipiga picha (low quality photographing) kisha wanaziweka kwenye website zao.

Ni kweli mkuu Kichwa Kikubwa.
Ila hii haijafanywa kwa mitihani yote. Kuna baadhi imechapwa, na baadhi imepigwa picha na kuwekwa kwenye format ya PDF.
Kitu kizuri ni kwamba mitihani inasomeka na lengo linatimia.
 
Back
Top Bottom