Maksi za Chupi zamponza Mhadhiri / Lecturer, Jela miaka 20 kwa kosa la kuomba Ngono ili kumfaulisha mwanafunzi wake

Maksi za Chupi zamponza Mhadhiri / Lecturer, Jela miaka 20 kwa kosa la kuomba Ngono ili kumfaulisha mwanafunzi wake

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,296
Reaction score
8,833
Tatizo hili limekuwa sugu sana, Karibu kila chuo kuna wahadhiri hunyanyasa mabinti kwa kutumia kisingizio "Mwalimu na mwanafunzi wa chuo wote ni watu wazima"

wengine wamewahi kufumaniwa baada ya wanafunzi kupeleka ushahidi wa kunyanyaswa lakini wanaishia kuhamishwa vituo vya kazi, kuonywa au kufukuzwa kazi, HAKUNA KWENDA JELA !!

Huyu aliefungwa itakuwa katembea na binti wa mtu mzito, akaapa kula nae sahani moja

SUMBAWANGA: Aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo cha Paradise Business, Godfrey Mwakitalima ahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

Mhadhiri huyo alikamatwa ndani ya chumba cha nyumba ya kulala wageni ya llembula iliyopo eneo la Chanji Wilaya ya Sumbawanga, alipokwenda kufanya mapenzi na mwanafunzi wake.

Hakufahamu kama mwanafunzi huyo ametoa malalamiko yake Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru),iliyoandaa mtego na kumnasa mhadhiri huyo akiwa kitandani.

Takukuru ikampeleka mahakamani, mhadhiri huyo kwa kosa la kuomba rushwa ya ngono kwa mwanafunzi wake kama sharti la kumpa alama za juu katika somo la ujasiriamali.

Baada ya kusikiliza ushahidi wa jamhuri na Mhadhiri huyo wa Paradise Business College alijitetea kuwa mwanafunzi huyo alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu,ila Mahakama ilimhukumu kifungo cha miaka 20 jela.
 
Baada ya kusikiliza ushahidi wa jamhuri na Mhadhiri huyo wa Paradise Business College alijitetea kuwa mwanafunzi huyo alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu,ila Mahakama ilimhukumu kifungo cha miaka 20 jela.
Watakuwa wamepitia vizuri mitihani yake pamoja na meseji za mawasiliano na kujiridhisha
 
Chuo n kawaida kuna lecturer falaa flan kipind tupo chuo alikuwa ndoo anatufelisha kozi flan konk inaitwa GIS AND REMOTE SENSING kumbe kuna dem anamtaka aseee tulivogundua dem alitolewa sadaka sisi tu GRADUATE 🎓...
Usikute Demu mwenyewe ni housing tu ila injini ilishajichokea kitambo tu kwa kukimbia kilometers za kutosha...🙄🤭

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
stori haijakamilika je mahakama ilithibitisha sio mpenzi wake kweli

hao wakufunzi ni binadamu kama sisi na wana tamaa zao za kibwege pia

sema Tanzania na mahakama zetu sio za kuamini mwenye hela anakupa kesi yoyote aitakayo na jamiii ina amini kweli ulitenda kosa
 
Tatizo hili limekuwa sugu sana, Karibu kila chuo kuna wahadhiri hunyanyasa mabinti kwa kutumia kisingizio "Mwalimu na mwanafunzi wa chuo wote ni watu wazima"

wengine wamewahi kufumaniwa baada ya wanafunzi kupeleka ushahidi wa kunyanyaswa lakini wanaishia kuhamishwa vituo vya kazi, kuonywa au kufukuzwa kazi, HAKUNA KWENDA JELA !!

Huyu aliefungwa itakuwa katembea na binti wa mtu mzito, akaapa kula nae sahani moja

SUMBAWANGA: Aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo cha Paradise Business, Godfrey Mwakitalima ahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

Mhadhiri huyo alikamatwa ndani ya chumba cha nyumba ya kulala wageni ya llembula iliyopo eneo la Chanji Wilaya ya Sumbawanga, alipokwenda kufanya mapenzi na mwanafunzi wake.

Hakufahamu kama mwanafunzi huyo ametoa malalamiko yake Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru),iliyoandaa mtego na kumnasa mhadhiri huyo akiwa kitandani.

Takukuru ikampeleka mahakamani, mhadhiri huyo kwa kosa la kuomba rushwa ya ngono kwa mwanafunzi wake kama sharti la kumpa alama za juu katika somo la ujasiriamali.

Baada ya kusikiliza ushahidi wa jamhuri na Mhadhiri huyo wa Paradise Business College alijitetea kuwa mwanafunzi huyo alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu,ila Mahakama ilimhukumu kifungo cha miaka 20 jela.
Mhadhiri Sumbawanga? Huyo atakuwa mganga wa kienyeji.
 
Tatizo hili limekuwa sugu sana, Karibu kila chuo kuna wahadhiri hunyanyasa mabinti kwa kutumia kisingizio "Mwalimu na mwanafunzi wa chuo wote ni watu wazima"

wengine wamewahi kufumaniwa baada ya wanafunzi kupeleka ushahidi wa kunyanyaswa lakini wanaishia kuhamishwa vituo vya kazi, kuonywa au kufukuzwa kazi, HAKUNA KWENDA JELA !!

Huyu aliefungwa itakuwa katembea na binti wa mtu mzito, akaapa kula nae sahani moja

SUMBAWANGA: Aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo cha Paradise Business, Godfrey Mwakitalima ahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

Mhadhiri huyo alikamatwa ndani ya chumba cha nyumba ya kulala wageni ya llembula iliyopo eneo la Chanji Wilaya ya Sumbawanga, alipokwenda kufanya mapenzi na mwanafunzi wake.

Hakufahamu kama mwanafunzi huyo ametoa malalamiko yake Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru),iliyoandaa mtego na kumnasa mhadhiri huyo akiwa kitandani.

Takukuru ikampeleka mahakamani, mhadhiri huyo kwa kosa la kuomba rushwa ya ngono kwa mwanafunzi wake kama sharti la kumpa alama za juu katika somo la ujasiriamali.

Baada ya kusikiliza ushahidi wa jamhuri na Mhadhiri huyo wa Paradise Business College alijitetea kuwa mwanafunzi huyo alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu,ila Mahakama ilimhukumu kifungo cha miaka 20 jela.

Uhadhiri si ni kwa vyuo vikuu?

Kumbe hicho ni chuo kikuu gani?
 
Back
Top Bottom