CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Sasa imekubalika kuwa wengi wa wana JF hawaipendi CCM (na haimaanishi kuwa wote in turn ni wana CHADEMA kama inavyodhaniwa). Kutokana na hili wamekuwa wakiiandama serikali ya CCM kiasi kwamba imebidi nao CCM watume watetezi. Ila wengi wa watetezi hawa wana mapungufu yafuatayo:
- ID zao zina majina ya kiajabu sana (Malaria Sugu; Faizafoxy etc)
- Hoja zao nyingi ni za mzahamzaha ili kuifanya JF ionekane ya mzaha pia
- Wengi wapo kwa kutumwa zaidi kuliko kujituma na hivyo kutoweza kuitetea serikali ya CCM ipasavyo
- Wagumu kukubali kuwa CCM imeshindwa hata katika mambo yaliyo wazi
- Ukiacha Nape na Mzee wa @NYC wengine wote waoga wa kutoa true IDs zao tofauti na viongozi wa CHADEMA ambao wengi wametoka wazi na true identities.
- Wakizidiwa hoja hufanya haya:
- kuzamia kwenye defence za kidini kwa kutumia uislam
- kuingia mitini
- kutukana na kukashifu