Makosa wanayofanya wanaume waliooa

Makosa wanayofanya wanaume waliooa

Rapunzel

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2012
Posts
1,079
Reaction score
601
1- Kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati
kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa
taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike
kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali
atajisikiaje.

8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

9- Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika

10- Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege

11-Kutofua boxer na socks zake hadi wife
awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi
 
1- Kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati
kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa
taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike
kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali
atajisikiaje.

8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

9- Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika

10- Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege

11-Kutofua boxer na socks zake hadi wife
awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi
12. Kutomchekea mke wako.
13. Kutokukaa nyumbani.
14.Kutigwa sana na mitandao ya kijamii (extreme busy with whatsApp, fb, viber etc) kiasi cha kuwa zuzu.
15. Kupenda kufuatilia mpira mpaka baa usiku.
16.Kuvua nguo espcialy suruali na kuiacha kama kinyesi.
17.Kuanzisha tabia/ratiba mpya ambayo hukuwa nayo kabla.
18.Kufunga simu yako na namba, maneno ya siri au michoro ya siri (drawing pattern ie Z,C).
19.Kuwa na kitambi kilichopitiliza.
20.Kukwepa kuongozana naye.
21.Kukwepa kuomba papuche mpaka yeye aanze.
22.Kutumia gari peke yako (Ubinafsi).
 
12. Kutomchekea mke wako.
13. Kutokukaa nyumbani.
14.Kutigwa sana na mitandao ya kijamii (extreme busy with whatsApp, fb, viber etc) kiasi cha kuwa zuzu.
15. Kupenda kufuatilia mpira mpaka baa usiku.
16.Kuvua nguo espcialy suruali na kuiacha kama kinyesi.
17.Kuanzisha tabia/ratiba mpya ambayo hukuwa nayo kabla.
18.Kufunga simu yako na namba, maneno ya siri au michoro ya siri (drawing pattern ie Z,C).
19.Kuwa na kitambi kilichopitiliza.
20.Kukwepa kuongozana naye.
21.Kukwepa kuomba papuche mpaka yeye aanze.
22.Kutumia gari peke yako (Ubinafsi).

Asante........♥♥♥♥♥ 1000 kwako
 
Duh hapo no 9 na 10 pananihusu.
 
1- Kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati
kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa
taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike
kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali
atajisikiaje.

8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

9- Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika

10- Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege

11-Kutofua boxer na socks zake hadi wife
awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi

Huyo ni mume wako tu. Kwa taarifa yako sisi wengine ni smart na wasafi kuliko wwanawake woooote
 
Men will always be MEN! Ukiona uko na dume la mbegu na ITIFAKI HAIZINGATIWI stuka mapemaaa atakuwa mfuasi wa CAMEROON si bure unles kama ushamtengeneza kwa mambo yetu yaleee ya kuchekea kwenye kinu.
 
Men will always be MEN! Ukiona uko na dume la mbegu na ITIFAKI HAIZINGATIWI stuka mapemaaa atakuwa mfuasi wa CAMEROON si bure unles kama ushamtengeneza kwa mambo yetu yaleee ya kuchekea kwenye kinu.
this applies to women to madam!

dependence should be discouraged in relationships.
 
#2 inanikera sana tu, wadada nao wamekuwa wachafu tu hamna lolote.
#3 nilidhani ipo zaidi kwa wadada, akitafuta nguo ya kuendea fuction/party utachoka, hadi unakereka..kabati litaparaganywa, nguo zote kwa kitanda..mara ajaribu ile, avue na kuvaa nyingine...agrrrr.
#9 ndio usiseme, hata hamjui order ya vyumba nyie, mwajua kuosha kucha na kuzipaka rangi, siku hizi na nyie mwafunga taulo hadi twajiuliza hivi ile ni nyeupe ama kahawia...

Siku hizi wala ME na KE hazina tofauti sana katika swala la usafi wa mwili na mazingira...
 
honestly, hiyo ni nature kwa mwanaume wengi wetu tuko hivo ni wachache sana wako tofauti tena wakuokoteza..
 
Men will always be MEN! Ukiona uko na dume la mbegu na ITIFAKI HAIZINGATIWI stuka mapemaaa atakuwa mfuasi wa CAMEROON si bure unles kama ushamtengeneza kwa mambo yetu yaleee ya kuchekea kwenye kinu.

honestly, hiyo ni nature kwa mwanaume wengi wetu tuko hivo ni wachache sana wako tofauti tena wakuokoteza..

Kubwa la maadui keshasema mkuu!
 
1- Kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari

tt2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati
kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa
taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike
kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali
atajisikiaje.

8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

9- Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika

10- Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege

11-Kutofua boxer na socks zake hadi wife
awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi
kama wapo wanaume wenye hizi tabia basi kazi ipo manake nyingi hapo ni ngeni kwangu japo niko kwenye ndoa muda mrefu tuu
 
Kushindwa kufanya majukumu ya familia km mwanaume..kukimbia kimbia majukumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom