Makosa wanayofanya wanaume waliooa

Makosa wanayofanya wanaume waliooa

Excuse me!!!
Akikotomb...a shoga yako..men always be s men tu
Akikuletea watoto 5 mama tofauti. ..men always be a men.
Akilala na house gal wako...men always be men
Give me break.....

YES! MEN WILL ALWAYS BE MEN,! Ungrateful creatures.
 
hilo na. 5 nahisii nikija kuoa litakuja kunihusu ngoja nichukue precaution mapema.
 
1- kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari

2-kuingia ndani na viatu vya matope wakati
kumeshadekiwa

3-kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako.

5-kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa
taarifa.

6-kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike
kuwa anavutia bila hofu.

7-kukosoa muonekano wa mke bila kujali
atajisikiaje.

8-kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

9- kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika

10- kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege

11-kutofua boxer na socks zake hadi wife
awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi
12. Kurudi kila siku usiku kwa kisingizio ulikuwa kazini

13. Kurudi nyumbani ukiwa umeshiba ilhali umeandaliwa chakula na mkeo!
14. Kurudi nyumbani ukiwa unanukia pafyum nisiyoijua
15. Kutupa soks ovyo/kuvulia soks sebuleni na kuacha hapo hapo
 
YES! MEN WILL ALWAYS BE MEN,! Ungrateful creatures.

hapo kwenye red umetumia neno kali sana juu yetu,sometimes huwa najiuliza kipi hasa huwa kinawakuta kiasi cha kugeneralize wanaume wote tupo hivyo mbona sisi wengine tupo ma saint sana...

na pia na sisi tunakutana na changamoto kama hizo upande wenu lakini still hatugeneralize kama hivyo.
 
Actually naona kama siyo "makosa" wanayofanya wanaume rather ni "Tabia" za wanaume wengi, na siyo waliooa tu, it is within the foundations of being a man, ukiona mwanaume anakosa baadhi ya vi tabia fulani it looses that pride in us, so kama lara 1 alivyosema jameni Men will always be Men we are from Mars and women from Uranus.
 
Last edited by a moderator:
Men will always be MEN! Ukiona uko na dume la mbegu na ITIFAKI HAIZINGATIWI stuka mapemaaa atakuwa mfuasi wa CAMEROON si bure unles kama ushamtengeneza kwa mambo yetu yaleee ya kuchekea kwenye kinu.

mambo yepi hayo ya kwenye kinu boss wangu msaada plz lara 1
 
Last edited by a moderator:
Hiyo nature aisee kuoga kwa kubahatisha hadi uambiwe na wife kuwa leo mbona hunikii kama jana ndp washtuka unanuka
 
1) kukununulia fanta wakati ulisema unataka coke

2) kushinda kwenye internet kutafuta wa kuongea nae wakati wewe upo karibu nae.
 
Mmmh mim ckubaliani na hayo kwasababu cjayaona kwake
 
ya.....ngapi vile
kwenda chooni na kulundika mzigo bila kumwaga maji
kutopenda kufua v...yu..pi eti nitafua tu hata kama kati kuna uchafu
kunichukulia poa hata nikitoa wazo mbele za marafiki zako unasema kaa kimya
kumsikiliza sana mama yako kwamba atakalo sema yeye ndo lifanyiwe kazi hata kama hatukai nae
kutamani shoga zangu kwa kuwasifia kiaina eti wazuri,wamejaaliwa wakati ukweli wengine nimewazidi
kuchelewa kurudi eti mvua mara foleni mara kazi nyingi wakati si kweli.......
kuacha pesa ya kutosha maharage na kurudi kudai nyama na vinono....(mtaibiwa ninyi!!)
(kwa baadhhi ya wanaume haya yanawahusu badilikeni)
TAJENI TABIA ZA WAKE ZINAZOKELA!!ZENU NDO IZO!
 
Mmmh mim ckubaliani na hayo kwasababu cjayaona kwake

USIUSEMEE MOYO...tena huyo atakuwa mwalimu wa waalimu...sasa si mpaka umfume au hizo tabia bado anakusikilizia au bado character za kiume hazijamuota mwilini!
 
USIUSEMEE MOYO...tena huyo atakuwa mwalimu wa waalimu...sasa si mpaka umfume au hizo tabia bado anakusikilizia au bado character za kiume hazijamuota mwilini!
Hapana kwa kweli sidhan japokuwa siusemei moya kwan ni lazima kila mwanaume awe na character hizo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom