G-less Antonopoulos
Member
- Sep 12, 2018
- 34
- 27
1. Anapokutukana : hasa hasa hadharani au chumbani
mkanye mara kadhaa kwa kumsihi ya kwamba hupendezwi na tabia yake hiyo, akiendelea zaidi ya mara tano, muache
2. Akikutukania wazee wako: fanya kama kipengele cha mwanzo.
3. Akitoka nje ya ndoa: mkanye akikataa kutokukusikiliza na kuendelea kuigongesha, mwache
Makosa yalobaki yote yaone ya kawaida sana yapotezee
mkanye mara kadhaa kwa kumsihi ya kwamba hupendezwi na tabia yake hiyo, akiendelea zaidi ya mara tano, muache
2. Akikutukania wazee wako: fanya kama kipengele cha mwanzo.
3. Akitoka nje ya ndoa: mkanye akikataa kutokukusikiliza na kuendelea kuigongesha, mwache
Makosa yalobaki yote yaone ya kawaida sana yapotezee