Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
Habari ndio hii juu ya sakata ya kesi ya Makonda.
DPP na DCI wameweka mapingamizi manne katika maombi yaliyofunguliwa na Saed Kubenea, kupata kibali cha kumfungulia kesi ya matumizi mabaya ya madaraka, aliyekuwa RC wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Mapingamizi hayo ni, Kubenea kutokuwa na maslahi na maombi hayo.
Nchi ngumu hii, sasa tuamini Al Bashite ni untouchable katika utawala wa Baba na Mama.
DPP na DCI wameweka mapingamizi manne katika maombi yaliyofunguliwa na Saed Kubenea, kupata kibali cha kumfungulia kesi ya matumizi mabaya ya madaraka, aliyekuwa RC wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Mapingamizi hayo ni, Kubenea kutokuwa na maslahi na maombi hayo.
Nchi ngumu hii, sasa tuamini Al Bashite ni untouchable katika utawala wa Baba na Mama.