Makontena ya RC Paul Makonda yapigwa mnada Bandarini

Ipo hoja ya Mali iliyopo kwenye makontena kukosa wateja na hivyo kuibua maswali kwamba labda vifaa hivyo ni used na havifai kuuza lakini pia ipo hoja kuwa vifaa hivyo yamkini ni so expensive na pia first class funiture kiasi kwamba ukitaka kuviingiza sokoni hapa nchini havitapata watu wenye fedha za kununua.

Lakini pia yawezekana TRA bila kujua thamani halisi ya mzigo wameweka Kodi kubwa na kuwafanya WAFANYABISHARA kurealize loss pale watakaponunua...

Ni vyema tathimini ikafanyika na ikiwezekana kushusha Bei kuwezesha kodi japo kidogo kukusanywa na kufunga mjadala huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu walijua kuna vitu chakavu kumbe kuna mizigo brand new subiri mnada ujao uone watu watakavyochangamkia

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
TRA watumbuliwe. Bei elekezi yao ni ya MTU asiyesoma!! Hii nchi ni hovyoo sana. Kila kitu ni lazima kipigiwe kelele ndiyo kitendeke kiweredi.
 
Maguguli na makanda qualified fisadis mafisadi papa wanapaswa juswekwa lupango muda huu
 
Nenda kaulize tabia na sifa za ambae alibeba hilo jina angalia na maisha yake alafu mfananishe na uyo mnuka maziwa mwenzio,usiwe unaokota majina alafu unataka kuwapa wapuuzi wenzio ambao hawawezi hata kubeba koti la uyo mtu.
You are such a effin village Idiot MoFo!
Unashindwa kuelewa simple cypha kama hii..sijui nani huwa anakuwekea vocha kwenye simu au kuweka sukari kwenye chai!
 
You are such a effin village Idiot MoFo!
Unashindwa kuelewa simple cypha kama hii..sijui nani huwa anakuwekea vocha kwenye simu au kuweka sukari kwenye chai!

utakuta umezaliwa kijijini pia na mama ako anajivunia kijana wake wakati unashindwa kujenga hoja mpaka unaamua kutukana kuhalalisha mawazo yako,narudia tena kuna viumbe walikuwepo hapa Duniani historia zao hazifananishwi kibwege namna hii.
 
Back
Top Bottom