Makongoro Nyerere Kugombea Urais-2015

Makongoro Nyerere Kugombea Urais-2015

Fantasy ngoja achukue fomu alafu aone moto wa LOWASA
 
na huyu chapombe nae anataka kua rais???ie makongoro???kweli Tanzania kua rais au kuongoza ni rahisi sana mpaka huyu nae anafikiriwa kuongoza 45m people of Tz??? LMAO!!!
 
Kauli ya J.M.K
WaTZ wajiandae kuona mtu ambaye hayupo katika hizi purukushani za sasa na...
... akisema hajajiandaa tutamwambia utajiandaa mbele ya safari ...
... akisema sijui kuongoza, tutamwambia hakuna aliyezaliwa akijua kuongoza...

JMK alikua anamaanisha chaguo lake ambalo ni mama Asha Rose Migillo.... watch this space!!
 
Hivi ndg wakati unakelwa kwani ulijua ndg Mkapa atakuongoza na kukufikisha hapa leo?
AU kuna shm imeandikwa//shule gani inatoa vyeti vya urais..?
Katiba ipo wazi hata wewe nyota ikiwaka ukakubarika tutakupa nchi.
Usiwe kama Dr. Bana.



na huyu chapombe nae anataka kua rais???ie makongoro???kweli Tanzania kua rais au kuongoza ni rahisi sana mpaka huyu nae anafikiriwa kuongoza 45m people of Tz??? LMAO!!!
 
Makangoro atakubali kula kiapo cha ndani ya chama cha kuyalind madudu yote yaliyofanyika mara baada ya baba yake kungatuka na kuifikisha nchi hapa ilipo? Nitamuona bonge la msaliti. kwa CCM ilivyochafuka hakuna mwana CCM mwenye uwezo wa kuisafisha.
IKUMBUKWE KUWA MIFUMO YETU SIO IMARA KIASI HICHO. WATAMSONGASONGA HADI AWE FISADI KULIKO KIKWETE.
 
'' Kwangu mimi Makongoro hana sifa za kuwa rais ,kwani kuna vigezo gani vinavyoangaliwa? Angeomba ushauri kwanza hata kwa kina Butiku,''

Alisema kwa anavyofahamu,CCM huchagua viongozi wazalendo,wenye maadili na historia za kupendeza wala sio viongozi kutokana na koo zao au umaarufu tu.

Chanzo: Mwananchi, machi 6 2015


Wakuu, Hivi Makongoro Nyerere naye sio msafi?

Anakasoro gani za kiutendaji hadi una unamdis?
1: Ameenda shule vizuri
2: Ana exposure ya kimataifa ya kutosha
3: Umri kikatiba yes
4: Ni mtanzania wa kuzaliwa(RAIA wa Tz)
:5: Kwao kuna elements za uongozi(babu yake baba yake kaka zake dada zake hadi wadogo zake( Vincent Nyerere wa Chadema)
6: Ana maamuzi magumu( kumtamkia Lowasa ni fisadi bila kificho)
Nin kingine unataka?
 
Acheni makongoro ni mlevi wa kupindukia muulize wa Arusha watawambia jinsi jamaa alivyo ndiyo waliokuwa wanamuokota bar... vile vile siyo mtu ambaye amejitokeza kwenye jamii na kuzungumzia mambo yanayo gusa nchi amekuwa kimya sana sema ni mkakati uliopangwa na Uhuru na kagame na mseveni kuhakikisha hizi nchi za Africa mashariki zinatawaliwa na watoto wa waasisi wa upatikanaji wa Uhuru hata Uganda nasikia mseveni ana mpango wa kumuachia mwanaye.
 
'' Kwangu mimi Makongoro hana sifa za kuwa rais ,kwani kuna vigezo gani vinavyoangaliwa? Angeomba ushauri kwanza hata kwa kina Butiku,''

Alisema kwa anavyofahamu,CCM huchagua viongozi wazalendo,wenye maadili na historia za kupendeza wala sio viongozi kutokana na koo zao au umaarufu tu.

Chanzo: Mwananchi, machi 6 2015


Wakuu, Hivi Makongoro Nyerere naye sio msafi?
Hivi ni CCM gani ananayomaanisha? Kasahau kuwa mheshimiwa Aman Abeid Karume (Rais wa Zanzibar aliyemaliza mwaka 2010) ni mtoto wa mzee Abeid Aman Karume, Rais wa kwanza wa Zanzibar baada ya Mapinduzi mwaka 1964?
 
'' Kwangu mimi Makongoro hana sifa za kuwa rais ,kwani kuna vigezo gani vinavyoangaliwa? Angeomba ushauri kwanza hata kwa kina Butiku,''

Alisema kwa anavyofahamu,CCM huchagua viongozi wazalendo,wenye maadili na historia za kupendeza wala sio viongozi kutokana na koo zao au umaarufu tu.

Chanzo: Mwananchi, machi 6 2015


Wakuu, Hivi Makongoro Nyerere naye sio msafi?

Bana hapo amesema cha maana sana.

Huyo Makongoro hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi wacha Urais.
 
Kwakuwa Baba yake alianzisha mfumo kristo ha ha ha ha ha ha Bibie wa Lumumba una visasi hadi kwa watoto na wajukuu.

Bana hapo amesema cha maana sana.

Huo Makongoro hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi wacha Urais.
 
Bana hapo amesema cha maana sana.

Huo Makongoro hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi wacha Urais.

Nilijua tu kuwa utakurupuka kuunga mkono hoja hii kwa zile element zako! Basi anafaa Prof Safari kama ulivyowahi kupendekeza huko nyuma
 
Indeed . Makongoro anakunywa sana pombe. Siku yoyote ukiiona gari yake imepaki pahali,utaona nyuma kuna kreti chache za bia,ambazo zinakuwa replenished zikianza kupungua. Kwenye seat ya mbele utamuona msichana mpya kila siku.
 
Akihojiwa na gazeti la Mwananchi kuhusu taarifa za yeye kugombe ama kutogombea uraisi kupitia CCM,Makongoro hakukanusha wala kukubali bali alijibu kama ifuatavyo na hapa namnukuu;

"Ninachoweza kutabiri kwa sasa ni iwapo nina njaa basi lazima nitakula au simba akitokea lazima nikimbie.Kama nina usingizi na kuna kitanda karibu lazima nitalala lakini mambo mengi siwezi kuyasema".

Ameongeza kuwa anasubiri siku ambayo CCM itatangaza mchakato wa kuchukua form ndipo hatima yake itajulikana.

CHANZO:Mwananchi.
 
Indeed . Makongoro anakunywa sana pombe. Siku yoyote ukiiona gari yake imepaki pahali,utaona nyuma kuna kreti chache za bia,ambazo zinakuwa replenished zikianza kupungua. Kwenye seat ya mbele utamuona msichana mpya kila siku.

Vipi kale kaugonjwa kenu ka kichwa ni ka familia, Makongoro hana?

Halafu ule ugonjwa uko upande wa baba au wa mama (genetically)?
 
Kwakuwa Baba yake alianzisha mfumo kristo ha ha ha ha ha ha Bibie wa Lumumba una visasi hadi kwa watoto na wajukuu.

Msome juu hapo kaka yake, baba mmoja mama mmoja anavyosema.

Halafu huyu Andrew yuko straight, hatafuni maneno.
 
Back
Top Bottom