Roho Mbaya
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 777
- 677
Hana sifa
Acheni makongoro ni mlevi wa kupindukia muulize wa Arusha watawambia jinsi jamaa alivyo ndiyo waliokuwa wanamuokota bar... vile vile siyo mtu ambaye amejitokeza kwenye jamii na kuzungumzia mambo yanayo gusa nchi amekuwa kimya sana sema ni mkakati uliopangwa na Uhuru na kagame na mseveni kuhakikisha hizi nchi za Africa mashariki zinatawaliwa na watoto wa waasisi wa upatikanaji wa Uhuru hata Uganda nasikia mseveni ana mpango wa kumuachia mwanaye.
Mmh..... Mama Faiza, kwa kuwa tu ulikuwa na 'bifu' na babayake,uneamua kuuendeleza 'uhasama' huo mpaka kwa wanawe?!Bana hapo amesema cha maana sana.
Huyo Makongoro hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi wacha Urais.
Anakasoro gani za kiutendaji hadi una unamdis?
1: Ameenda shule vizuri
2: Ana exposure ya kimataifa ya kutosha
3: Umri kikatiba yes
4: Ni mtanzania wa kuzaliwa(RAIA wa Tz)
:5: Kwao kuna elements za uongozi(babu yake baba yake kaka zake dada zake hadi wadogo zake( Vincent Nyerere wa Chadema)
6: Ana maamuzi magumu( kumtamkia Lowasa ni fisadi bila kificho)
Nin kingine unataka?
Mmh..... Mama Faiza, kwa kuwa tu ulikuwa na 'bifu' na babayake,uneamua kuuendeleza 'uhasama' huo mpaka kwa wanawe?!
Jamani rais wenu ni Dr slaa mbona mnaangaika na walevi wakati mtu msafi mwenye maadili yote ya uongozi
hivi jamaa anafaa?
Anayeweza kuwatikisa ukawa ni Lowasa tu
lowasa ana uwezo gani wa kuitikisa ukawa?aende akatibu afya yake kampeni zitampa presha
Kasome post #233 , huyo kaka'ke baba mmoja mama mmoja ana hayo ya kusema, seuse sisi.
Makongoro hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
akiingia ktk system atakuwa mtu mzur mkuuHivi ndg wakati unakelwa kwani ulijua ndg Mkapa atakuongoza na kukufikisha hapa leo?
AU kuna shm imeandikwa//shule gani inatoa vyeti vya urais..?
Katiba ipo wazi hata wewe nyota ikiwaka ukakubarika tutakupa nchi.
Usiwe kama Dr. Bana.
Bana hapo amesema cha maana sana.
Huyo Makongoro hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi wacha Urais.
kwa hiyo unamuunga mkono kuwa kuwa ccm ni chama cha waadirifu