Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,258
Mapishi kwa kutumia kuni haya!Wewe mleta mada pamoja NA mange mnampango wa kumpa High blood pressure
Makonder
Mapishi kwa kutumia kuni haya!Wewe mleta mada pamoja NA mange mnampango wa kumpa High blood pressure
Makonder
Huyo huyo!Kwani makonda ndo nani ? Mi niko dar maana nasikia sikia makonda hivi ni nani?
Dah....labda anataka abiria wawe 61%kabla haujapanda daladala lake unakuwa rafiki ila kitendo cha kuingia ndani ya daladala unageuka adui anaombea ushuke apande mwingine
InawezekanaDah....labda anataka abiria wawe 61%
Inawezekana

Na anakwambia kwenye daladala usikae muda mrefu,ushuke haraka wauze kiti.Kwa maneno ya shombo tu! Hawajambo.. Mtu mwili mdogooo anajiona mbabe, au wenye daladala ndio wanawapa kiburi wawanyanyase abiria? Nasikia abiria ukipanda huna sauti. Wakihisi wewe ni wa kuja wanakushusha kituo kinachifuata.
Dah....uko mulemuleMi nilifikir makonda.kumbe ni makondakta

Hapa ni Jf mkuuKuna utata mkubwa kwenye hii mada pendwa. Neno Makonda bila kuliwekea fungua na funga semi inaonekana kama unataja "proper noun" ya mheshimiwa ama wenye majina halisi kama hayo.
Pili, udadavuaji wa kimpashopasho, waweza kudhania wanaoongelewa ni machangudoa! Mfano "kabla haujapanda daladala lake unakuwa ni rafiki,ila kitendo cha kuingia ndani anageuka adui akiombea ushuke apande mwingine"! Siyo kwamba anaongelewa changu doa hapa, isiwe tunazungushana akili kuchangia,kumbe kilicholengwa ni kingine?
Nikadhani mkuu wa mkoa
MKUU NINA UHAKIKA UNAZUNGUMZIA MAKONDA WA DAR
wacha waisome namba.....Huku aisie Fanya kazi na asile.. Hapo unategemea nini mkuu?! Ndo mana wanakua na hasira na mara zote wanakurupuka tu.