- Thread starter
- #61
ahahahahahahaahaaaaaaaaaaaaaaa,mkuu umetisha...Kwa maneno ya shombo tu! Hawajambo.. Mtu mwili mdogooo anajiona mbabe, au wenye daladala ndio wanawapa kiburi wawanyanyase abiria? Nasikia abiria ukipanda huna sauti. Wakihisi wewe ni wa kuja wanakushusha kituo kinachifuata.