Makonda wote akili zao ni sawa?

Makonda wote akili zao ni sawa?

Wewe mleta mada pamoja NA mange mnampango wa kumpa High blood pressure
Makonder
mkuu,mimi si sawa na mange(kihiyo) huyo..mimi nimeleta utafiti nilioufanya kwa muda wa miezi 7 katika maeneo niliyoyaainisha hapo juu...au wewe umeilewaje hii post?isijekuwa umeielewa vibaya mkuu..
 
Kwa maneno ya shombo tu! Hawajambo.. Mtu mwili mdogooo anajiona mbabe, au wenye daladala ndio wanawapa kiburi wawanyanyase abiria? Nasikia abiria ukipanda huna sauti. Wakihisi wewe ni wa kuja wanakushusha kituo kinachofuata. wengine hawawajui hata mabosi wenye gari, siku bosi akipanda daladala lake anakutana na maneno ya shombo ya makonda. Si wameletwa na madereva!!!!!
 
Back
Top Bottom