- Thread starter
- #101
mkuu,hayo ni maoni yako au utafiti?MKUU NINA UHAKIKA UNAZUNGUMZIA MAKONDA WA DAR
mkuu,hayo ni maoni yako au utafiti?MKUU NINA UHAKIKA UNAZUNGUMZIA MAKONDA WA DAR
mkuu,hivi hawa jamaa huwa wanaajiliwa na medereva au huwa wanaajiliwa na wenye magari?hapo bado huwa nashindwa kuelewa mkuu..sasa asimpomsifu/flatter dereva atajihakikishiaje ajira?
wenye magari humkabidhi gari dereva. madereva ndiyo hutafuta makonda. ukiona konda anamatusi, mbabe, mropokaji ujue ni kosa la dereva. kibaya ni kuwa biashara ya mmiliki inaharibika.mkuu,hivi hawa jamaa huwa wanaajiliwa na medereva au huwa wanaajiliwa na wenye magari?hapo bado huwa nashindwa kuelewa mkuu..
Makonda wa Dar ni tatizo zaidi!tabia za makonda wa huko kwenu,ukoje?
mkuu,inabidi utafiti ufanywe juu ya vyuo,labda vipo..Hivi hakuna chuo cha kuwatrain hawa makonda?
aisee,asante kwa kunijuza mkuu..wenye magari humkabidhi gari dereva. madereva ndiyo hutafuta makonda. ukiona konda anamatusi, mbabe, mropokaji ujue ni kosa la dereva. kibaya ni kuwa biashara ya mmiliki inaharibika.
kwani wewe unaishi wapi umeshajisajili kwa mjumbe ahaaaaaa ahaaaaaa.weee mimi sipo kwani yule si anaitwa PAUL MAKONDA
sasa nashangaa watu wanatoka povu la nini mkuu hv kwan makondakta nani asiye wajua??mkuu,umeielewa post vizuri sana,kula likes zangu toka moyoni....waache walio dakika 3 mbele..