Bosco Ntaganda
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 1,495
- 1,687
Gambo, bado haujasema
Hamumtaki kivipi mwanaccm mwenzenu?Makonda Arusha hatukutaki.
Ubunge umelazimisha ili uwe Waziri.
Get the he'll out of Arusha.
Ni muda sasa hajawalisha nyama choma, na pia hajamleta Arnold Shwazinigger kama alivyo ahidi.Kafanyajr tena
🤣Huyu tunamfukuza hapo Arusha.![]()
Akagombee huko kwao Mwanza.
Huyo ni chawa mwenzako fakin wewe!Wewe ni Lema .
Umechanganyikiwa hujui la kufanya
Usiwaamini sana ccmKumbe una akili.
Usiwaamini sana ccm
Msiwaamini sana chama cha majambaziHata mimi leo nimemshangaa ila nadhani kuna mtu kamdukua
Hakuna kizazi kilishawahi acha lalamikaEnyi kizaz Cha Malalamiko
Better late than never japo mnastuka kumeshakucha.Makonda Arusha hatukutaki.
Ubunge umelazimisha ili uwe Waziri.
Get the he'll out of Arusha.
HahaAkili yako unaamini kulikuwa na uchaguzi !.
Amlete anod fasta jamanNi muda sasa hajawalisha nyama choma, na pia hajamleta Arnold Shwazinigger kama alivyo ahidi.
Saa bovu limepatia majiraMakonda Arusha hatukutaki.
Ubunge umelazimisha ili uwe Waziri.
Get the he'll out of Arusha.