Duh, kumbe mzee alimzagamua huyu nyamitako?Hili jamaa senge sana, ndiyo maana mzee six alimla sana kwa sababu ya tamaa zake.
Rais atazitoa wapi kama hazimo kwenye budget? Kwa nini asiziingize kwenye budget ya wizara yake ya 2026-2027?Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda, ametangaza mpango wa kumuomba Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kiasi cha hadi Shilingi bilioni mbili kwa ajili ya mikopo ya vifaa vya kisasa kwa ajili ya vijana waliojiajiri kupitia vyombo vya habari vya mtandaoni na mitandao ya kijamii.
Akizungumza leo, Januari 13, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Prof. Palamagamba Kabudi, Makonda amesema lengo la mkopo huo ni kuwawezesha vijana kumiliki kamera na kompyuta za kisasa ili kutoa maudhui yenye ubora wa kimataifa yanayoitangaza Tanzania vizuri badala ya kutegemea vifaa duni.
Pamoja na uwezeshaji huo, Waziri Makonda ametangaza mkakati mpya wa kuanzisha timu maalum ndani ya wizara itakayoshughulika na mawasiliano ya lugha mbalimbali za kimataifa. Lengo ni kuhakikisha kuwa habari na matukio ya Rais Samia na Serikali yanarushwa na vyombo vikubwa vya habari duniani kwa ufanisi zaidi.
Yaani siyo kuweka kwenye bajeti ya wizaraWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda, ametangaza mpango wa kumuomba Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kiasi cha hadi Shilingi bilioni mbili kwa ajili ya mikopo ya vifaa vya kisasa kwa ajili ya vijana waliojiajiri kupitia vyombo vya habari vya mtandaoni na mitandao ya kijamii.
Akizungumza leo, Januari 13, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Prof. Palamagamba Kabudi, Makonda amesema lengo la mkopo huo ni kuwawezesha vijana kumiliki kamera na kompyuta za kisasa ili kutoa maudhui yenye ubora wa kimataifa yanayoitangaza Tanzania vizuri badala ya kutegemea vifaa duni.
Pamoja na uwezeshaji huo, Waziri Makonda ametangaza mkakati mpya wa kuanzisha timu maalum ndani ya wizara itakayoshughulika na mawasiliano ya lugha mbalimbali za kimataifa. Lengo ni kuhakikisha kuwa habari na matukio ya Rais Samia na Serikali yanarushwa na vyombo vikubwa vya habari duniani kwa ufanisi zaidi.
Kwani Yeye ndiye Waziri wa Fedha? Au Yeye ndiye Baraza la mawaziri? Au taratibu zimebadilika?kumuomba
Chaka lingine limegunduliwaWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda, ametangaza mpango wa kumuomba Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kiasi cha hadi Shilingi bilioni mbili kwa ajili ya mikopo ya vifaa vya kisasa kwa ajili ya vijana waliojiajiri kupitia vyombo vya habari vya mtandaoni na mitandao ya kijamii.
Akizungumza leo, Januari 13, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Prof. Palamagamba Kabudi, Makonda amesema lengo la mkopo huo ni kuwawezesha vijana kumiliki kamera na kompyuta za kisasa ili kutoa maudhui yenye ubora wa kimataifa yanayoitangaza Tanzania vizuri badala ya kutegemea vifaa duni.
Pamoja na uwezeshaji huo, Waziri Makonda ametangaza mkakati mpya wa kuanzisha timu maalum ndani ya wizara itakayoshughulika na mawasiliano ya lugha mbalimbali za kimataifa. Lengo ni kuhakikisha kuwa habari na matukio ya Rais Samia na Serikali yanarushwa na vyombo vikubwa vya habari duniani kwa ufanisi zaidi.
Hiv ni kwel six alkua na hizo tabia au mnamsingizia kijana wake??Duh, kumbe mzee alimzagamua huyu nyamitako?
mpigaji kwenye moja na mbiliWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda, ametangaza mpango wa kumuomba Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kiasi cha hadi Shilingi bilioni mbili kwa ajili ya mikopo ya vifaa vya kisasa kwa ajili ya vijana waliojiajiri kupitia vyombo vya habari vya mtandaoni na mitandao ya kijamii.
Akizungumza leo, Januari 13, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Prof. Palamagamba Kabudi, Makonda amesema lengo la mkopo huo ni kuwawezesha vijana kumiliki kamera na kompyuta za kisasa ili kutoa maudhui yenye ubora wa kimataifa yanayoitangaza Tanzania vizuri badala ya kutegemea vifaa duni.
Pamoja na uwezeshaji huo, Waziri Makonda ametangaza mkakati mpya wa kuanzisha timu maalum ndani ya wizara itakayoshughulika na mawasiliano ya lugha mbalimbali za kimataifa. Lengo ni kuhakikisha kuwa habari na matukio ya Rais Samia na Serikali yanarushwa na vyombo vikubwa vya habari duniani kwa ufanisi zaidi.
Amlete Swaziniga kwanza, otherwise aache utapeli.Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda, ametangaza mpango wa kumuomba Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kiasi cha hadi Shilingi bilioni mbili kwa ajili ya mikopo ya vifaa vya kisasa kwa ajili ya vijana waliojiajiri kupitia vyombo vya habari vya mtandaoni na mitandao ya kijamii.
Akizungumza leo, Januari 13, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Prof. Palamagamba Kabudi, Makonda amesema lengo la mkopo huo ni kuwawezesha vijana kumiliki kamera na kompyuta za kisasa ili kutoa maudhui yenye ubora wa kimataifa yanayoitangaza Tanzania vizuri badala ya kutegemea vifaa duni.
Pamoja na uwezeshaji huo, Waziri Makonda ametangaza mkakati mpya wa kuanzisha timu maalum ndani ya wizara itakayoshughulika na mawasiliano ya lugha mbalimbali za kimataifa. Lengo ni kuhakikisha kuwa habari na matukio ya Rais Samia na Serikali yanarushwa na vyombo vikubwa vya habari duniani kwa ufanisi zaidi.
Wewe kila kitu aiseeeh 😁, nothing to say?Aiseeeee