Makonda ni Magufuli ajaye

Makonda ni Magufuli ajaye

Kutokana na uongozi wake wenye misimamo ni dhahiri kabisa kua huyu kijana ni hazina kwa Taifa kama Tanzania,Taifa lililokua linamhitaji kiongozi shupavu,kiongozi anasiyetetereshwa ila kusimamia lile ambalo analiona lina maslahi kwa eneo lake na Taifa kwa ujumla.

Mh Makonda ni miongoni mwaka watendaji wa serikali walioweza kuendana na kasi ya Mh Rais,ni vyema tukamuunga mkono kijana huyu tuwe naye bega kwa bega kwa maslahi mapana ya mkoa wetu na Taifa kwa ujumla. Dar es Salam ndio kiini cha Tanzania, Tunapoitaja DSM basi tunaitaja Tanzania, Mh Makonda amefaulu kwa kiasi kikubwa hasa kusimamia amani, ulinz na usalama wa mkoa akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama.

Kijana Makonda ni kama amezaliwa kuongoza kutokana na utashi wake katika uongozi.Makonda ni Magufuli ajaye.Taifa linamhitaji sana kwa sasa.
Acha uongo
 
Big up Makonda, ukweli mawazo yako ni mazuri na kweli huyu kijana the Makonda ni Magufuli ajaye.Hutoa maamuzi mazuri ya kiutendaji nk mungu aendelee kumuweka hai na awepo hapo kwenye hiyo nafasi. Ila wale wala viroba wa Kingunge watabisha maana wao walikaririshwa na DJ mbowe awe wa kupinga tu hata kama jua wanaliona watapinga kwamba siyo jua eti ni nyota.
Una hamu na cheo gani mkuu???maana vyeo vinaelekea kuisha
 
Tukiweka pembeni mihemko ya kichama,unapozungumzia vijana wenye nyota ya uongozi Mh Makonda ni miongoni mwao,hii uchama ndio unatuponza Watanzania.Kwa kuweka tofauti za Kichama itatusaidia kubaini ni kiongozi yupi hasa anatufaa,tunataka mtu anayesimamia maamuzi yake.
Ndio maana kwa kusema Makonda ni Magufuli ajaye ni sahihi kabisa kwa kua Magufuli anasimamia analoamini ndio maana akamuamini Makonda na kutuletea akawa Rais wa eneo letu la DSM yeye ndio mwakilishi wa Rais.
mkuu Sio kwamba kawekwa kwa shughuli maalum ya kuwadhibiti wale wapinzani wake???usimsifie tuu kutaka cheo..ukijielewa napo itakusaidia,ni tahadhari tuu
 
Nasikia kuna mfalme aliwahi kumpa juha rungu .juha alipoona inzi katua usoni mwa mfalme kwa hasira alilivurumisha.......sikuelezwa ni nini kilichotokea baada ya hilo tukio. Naomba tuwe makini katika maamuzi yetu!!!
 
Nasikia kuna mfalme aliwahi kumpa juha rungu .juha alipoona inzi katua usoni mwa mfalme kwa hasira alilivurumisha.......sikuelezwa ni nini kilichotokea baada ya hilo tukio. Naomba tuwe makini katika maamuzi yetu!!!
 
Hivi pale ushirika Moshi alisoma jumla ya miaka mingapi vile?
Kutokana na uongozi wake wenye misimamo ni dhahiri kabisa kua huyu kijana ni hazina kwa Taifa kama Tanzania,Taifa lililokua linamhitaji kiongozi shupavu,kiongozi anasiyetetereshwa ila kusimamia lile ambalo analiona lina maslahi kwa eneo lake na Taifa kwa ujumla.

Mh Makonda ni miongoni mwaka watendaji wa serikali walioweza kuendana na kasi ya Mh Rais,ni vyema tukamuunga mkono kijana huyu tuwe naye bega kwa bega kwa maslahi mapana ya mkoa wetu na Taifa kwa ujumla. Dar es Salam ndio kiini cha Tanzania, Tunapoitaja DSM basi tunaitaja Tanzania, Mh Makonda amefaulu kwa kiasi kikubwa hasa kusimamia amani, ulinz na usalama wa mkoa akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama.

Kijana Makonda ni kama amezaliwa kuongoza kutokana na utashi wake katika uongozi.Makonda ni Magufuli ajaye.Taifa linamhitaji sana kwa sasa.
 
Kutokana na uongozi wake wenye misimamo ni dhahiri kabisa kua huyu kijana ni hazina kwa Taifa kama Tanzania,Taifa lililokua linamhitaji kiongozi shupavu,kiongozi anasiyetetereshwa ila kusimamia lile ambalo analiona lina maslahi kwa eneo lake na Taifa kwa ujumla.

Mh Makonda ni miongoni mwaka watendaji wa serikali walioweza kuendana na kasi ya Mh Rais,ni vyema tukamuunga mkono kijana huyu tuwe naye bega kwa bega kwa maslahi mapana ya mkoa wetu na Taifa kwa ujumla. Dar es Salam ndio kiini cha Tanzania, Tunapoitaja DSM basi tunaitaja Tanzania, Mh Makonda amefaulu kwa kiasi kikubwa hasa kusimamia amani, ulinz na usalama wa mkoa akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama.

Kijana Makonda ni kama amezaliwa kuongoza kutokana na utashi wake katika uongozi.Makonda ni Magufuli ajaye.Taifa linamhitaji sana kwa sasa.
Hivi kwenye nchi yetu viashiria vya uvunjifu wa amani ambavyo hizo kamati za ulinzi na usalama za mikoa walizoweza kuaddress ni zipi has a mpaka tuanze kuwaimbia mapambio?
 
Big up Makonda, ukweli mawazo yako ni mazuri na kweli huyu kijana the Makonda ni Magufuli ajaye.Hutoa maamuzi mazuri ya kiutendaji nk mungu aendelee kumuweka hai na awepo hapo kwenye hiyo nafasi. Ila wale wala viroba wa Kingunge watabisha maana wao walikaririshwa na DJ mbowe awe wa kupinga tu hata kama jua wanaliona watapinga kwamba siyo jua eti ni nyota.

Kuna kitu hakipo sawa kwa upende wako...
 
100% hujui maana ya uongozi, hutaki au hujishughulishi kujua maana ya uongozi! Huyu unaemshabikia sio kiongozi hata kuiga tu uongozi hataki au hajui!
 
Kutokana na uongozi wake wenye misimamo ni dhahiri kabisa kua huyu kijana ni hazina kwa Taifa kama Tanzania,Taifa lililokua linamhitaji kiongozi shupavu,kiongozi anasiyetetereshwa ila kusimamia lile ambalo analiona lina maslahi kwa eneo lake na Taifa kwa ujumla.

Mh Makonda ni miongoni mwaka watendaji wa serikali walioweza kuendana na kasi ya Mh Rais,ni vyema tukamuunga mkono kijana huyu tuwe naye bega kwa bega kwa maslahi mapana ya mkoa wetu na Taifa kwa ujumla. Dar es Salam ndio kiini cha Tanzania, Tunapoitaja DSM basi tunaitaja Tanzania, Mh Makonda amefaulu kwa kiasi kikubwa hasa kusimamia amani, ulinz na usalama wa mkoa akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama.

Kijana Makonda ni kama amezaliwa kuongoza kutokana na utashi wake katika uongozi.Makonda ni Magufuli ajaye.Taifa linamhitaji sana kwa sasa.
MSITUSHIRIKISHE DHAMBI NA LAANA ZENU MAANA SIYO HUYO MTU HATA CHAMA CHENYEWE.
 
Kama lilivyo jina lako wewe ni UGORO UGORO UGORO Ugoro alobugia bibi yako. Hovyo saana. Unawezaje kusema hayo, eti nani makonda, unadhani watanzania watabakia hivi walivyo Leo . Let me tell you hskutakuwa na takataka hii ya akina Makpnda. Puuu mb...fu
 
Makonda ni kiongozi mbunifu,hasa kwenye suala la usafi wa jiji letu.Sote kwa pamoja tumuunge mkono kwenye siku ya upandaji miti ili kutunza mazingira yetu,tukipanda miti kwa wingi itatusaidia sana kutinda na kutunza vyanzo vya maji.Rai yangu kwa vijana wenzangu tumuunge mkono kijana mwenzetu.
 
Labd Kiongozi wa wale........aliowapiga marufuku.......wa jinsia moja! Sio vinginevyo
Kutokana na uongozi wake wenye misimamo ni dhahiri kabisa kua huyu kijana ni hazina kwa Taifa kama Tanzania,Taifa lililokua linamhitaji kiongozi shupavu,kiongozi anasiyetetereshwa ila kusimamia lile ambalo analiona lina maslahi kwa eneo lake na Taifa kwa ujumla.

Mh Makonda ni miongoni mwaka watendaji wa serikali walioweza kuendana na kasi ya Mh Rais,ni vyema tukamuunga mkono kijana huyu tuwe naye bega kwa bega kwa maslahi mapana ya mkoa wetu na Taifa kwa ujumla. Dar es Salam ndio kiini cha Tanzania, Tunapoitaja DSM basi tunaitaja Tanzania, Mh Makonda amefaulu kwa kiasi kikubwa hasa kusimamia amani, ulinz na usalama wa mkoa akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama.

Kijana Makonda ni kama amezaliwa kuongoza kutokana na utashi wake katika uongozi.Makonda ni Magufuli ajaye.Taifa linamhitaji sana kwa sasa.
 
Back
Top Bottom