simon mato
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 926
- 485
Vijana wengi wana hari au mori ya kuwajibika na wana mtazamo chanya kuhusu dhana maendeleo ndo maana katika nchi za wenzetu unawakuta vijana wengi kwenye taasisi za umma na inawasidia sanaaa japo pia wazee hubeba dhana ya hekima ,busara,na maarifa hivyo basi na sisi inabidi tuwaunge mkono vijana wetu katika hili dhana ya maendeleo na hapa ndipo utakuta vijana makini kama MWIGHURU ,JANUARY, MAKONDA,POLEPOLE,NAPE,UMMY,KIGWANGALA,JAFFO na wengineo.Mie bado nitaendelea kutatizwa na tafsiri ya ujana katika siasa!