Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 1,990
- 3,821
Ameshiba mihogo. Leo anasema Magufuli ni kaka yake. Wewe makonda ni wakumuita magufuli kaka Yako kweli? Unakumbuka alivyokusitahi kama mwanae. Unakumbuka alivyokuunganisha wewe na Ruge kule chongoleani Tanga kwa kuwaita wewe na Ruge ni wanaye. Leo unamuita kaka Yako eti.
Tafadhali usimtumie Magufuli kuwahadaa watanzania kwa kukutetea njaa zako. Kinywa chako hakifai kumtaja Magufuli mbele ya Samia asiye na uwezo wa kuongoza.
Tafadhali usimtumie Magufuli kuwahadaa watanzania kwa kukutetea njaa zako. Kinywa chako hakifai kumtaja Magufuli mbele ya Samia asiye na uwezo wa kuongoza.