MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,557
- 24,180
Mkuu, January kampa za uso eehh..safi sana.Januaru Amemmaliza kwa kusemaje Mkuu?Pale mkuu ni saikoloji imetumika... Maana kiitifaki alitakiwa awepo kwenye mtiririko wa utambuzi.... Lakini yy baada ya utambuzi akajifanya Kama kamsahau then akampa special recognition kwake.. Kwa sababu anazozijua yy... Pia kwenye speech ya January makamba kammaliza Kabisa jamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app