habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
hivi mkuu hawezi kumuamisha kidogo huyu kijana mwenzetu? walau aende haTA KataviNamsikiliza Makonda anavyojiuma kuhsu umbea aliomhusisha nao Sirro......jamaa Mkoa mgumu kwake.
hivi mkuu hawezi kumuamisha kidogo huyu kijana mwenzetu? walau aende haTA KataviNamsikiliza Makonda anavyojiuma kuhsu umbea aliomhusisha nao Sirro......jamaa Mkoa mgumu kwake.
Kwamba anaishinda darDar inamshindwa
OVA
hivi mkuu hawezi kumuamisha kidogo huyu kijana mwenzetu? walau aende haTA Katavi
kwa ninavyoelewa mkuu hawezi kumtimua, unajua mkono wa kulia una kazi gani?Huyu wala sio wa kuhamishwa chief...huyu ni kutimliwa kabisa.
Teh tehBadala ya kuwahi ofc anakwenda kujisafisha radioni.
Namsikiliza Makonda hapa Clouds alipokwenda kujikosha kuhusu shisha na rushwa ya Polisi akikosea tena badala ya Rais Magufuli na kuanza kutaja Rais Kikwete.
Hii sii Mara ya kwanza, hilo kosa analifanya sana na Magufuli ana zaidi ya mwaka ndani ya cheo hicho.
Wataalamu wa saikolojia wanaamini kuwa yule aliyejaa kichwani mwako ndiye mwepesi kumtamka mdomoni.
Jee Makonda akili yake bado imejaa kwa Rais Kikwete kuliko Magufuli au hilo linatokea kwa vile anaripoti mambo kwa Kikwete kinyemela?
JPM Ajichunge kwani wapo wateule wake ambao akili zao hazipo kwake Bali kwa mtangulizi wake.
Mji mkubwa kama Dar es Salaam wenye mchanganyiko wa shughuli nyingi unahitaji wisdom kama aliyokuwa nayo Mkuu wa Mkoa aliyepita Mecky SadickDar inamshindwa
OVA
Na maswali akaandaa mwenyewe!Kwa hiyo inawezekana RC ndio alieomba intavyuu Clouds Radio mwenyewe na sio Radio kumuomba yeye intavyuu?
hatariiiiiNa maswali akaandaa mwenyewe!
Unamanisha nn? Kwa hama shisha hapaView attachment 435912 Makonda akiwa na wana shisha
Nakubaliana na wewe kabisaKutoa au kupokea rushwa ni kosa la jinai. Makonda kama RC anafahamu hilo!
Makonda kama RC alikuwa hatakiwi kusubiri PM, kulalamika kwamba kuna watu walijartibu kumuhonga akakataa. Makonda kama RC alitakiwa kuwaweka watu huo chini ya ulinzi na kuwaita PCCB hapo hapo bila kusubiri kulalamika kwa PM tena mbele ya hadhara.
Kuna DC wa Bunda 2014(?) Wachina walifika ofisini kwa DC kwa nia ya kumhonga. Wachina walipotoa hiyo hongo kwa DC, DC huyo wa Bunda akawaweka chni ya ulinzi, na hapo hapo akawaita PCCB. Wachina wakashikwa red handed na rushwa yao mkononi. Wachina hao wakapelekwa mahakamani na kwa kuwa ilikuwa red handed, wachina wakakili kosa na mahakama ikatoa adhabu kwa hao Wachina. Jambo hilo ndiyo alitakiwa Makonda kufanya.
Kitendo cha Makonda kuwaachia watu waliofika ofisini kwake kumuhonga bila kuchukua hatua yeyote is obstruction of justice. Makonda amewalinda wahalifu. Kwa kufanya hivyo mamlaka iliyomteua inatakiwa kumchukulia hatua na kinidhamu mara moja, unless mamlaka hiyo nayo ina condone vitendo vya rushwa.
Makonda is guilty!
inawezekana vituo vingine havitaki masihalaHivi Hii Tabia Ya Kwenda Kwenda clouds Ataacha Lini wakati Kuna Radio ya Taifa? Ni Aibu Sana Kwa Taifa Yani Huyu Jamaa Sijuwi itakua Analala Hapo Hapo clouds.
Wengine hata wakikua hawaachagi hata kama ni vikongwe bado na utoto na ujana wao. Hujawaona hao huku kwetu wapo, vibabu wapenda vitoto labda wakifa wataacha!Akikua ataacha
Awali ni Awali tu, JK ndiye aliyemuibua, ana haki ya kukosea bado ni mapema mno, kuna watu hata barua mbado wanaandika 2015!Namsikiliza Makonda hapa Clouds alipokwenda kujikosha kuhusu shisha na rushwa ya Polisi akikosea tena badala ya Rais Magufuli na kuanza kutaja Rais Kikwete.
Hii sii Mara ya kwanza, hilo kosa analifanya sana na Magufuli ana zaidi ya mwaka ndani ya cheo hicho.
Wataalamu wa saikolojia wanaamini kuwa yule aliyejaa kichwani mwako ndiye mwepesi kumtamka mdomoni.
Jee Makonda akili yake bado imejaa kwa Rais Kikwete kuliko Magufuli au hilo linatokea kwa vile anaripoti mambo kwa Kikwete kinyemela?
JPM Ajichunge kwani wapo wateule wake ambao akili zao hazipo kwake Bali kwa mtangulizi wake.
Audio tafadhaliNamsikiliza Makonda hapa Clouds alipokwenda kujikosha kuhusu shisha na rushwa ya Polisi akikosea tena badala ya Rais Magufuli na kuanza kutaja Rais Kikwete.
Hii sii Mara ya kwanza, hilo kosa analifanya sana na Magufuli ana zaidi ya mwaka ndani ya cheo hicho.
Wataalamu wa saikolojia wanaamini kuwa yule aliyejaa kichwani mwako ndiye mwepesi kumtamka mdomoni.
Jee Makonda akili yake bado imejaa kwa Rais Kikwete kuliko Magufuli au hilo linatokea kwa vile anaripoti mambo kwa Kikwete kinyemela?
JPM Ajichunge kwani wapo wateule wake ambao akili zao hazipo kwake Bali kwa mtangulizi wake.