Makonda kampiga MH.Warioba au hakumpiga ???

Makonda kampiga MH.Warioba au hakumpiga ???

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,762
Let us JF to be honest ,ITV walikuwepo ,Jaji Warioba mhusika mkuu yupo hai na akina Butiku wapo na wanacheria wengine pia nao walikuwepo wapo ,zaidi ,muhimu ni huyu mhusika mkuu aite press conf, au watu wa press wamuendee kwake ofisini wahojiane nae ,tusiwe katika njia ya waongo kwani njia ya muongo ni fupi.Leo mnasema warioba kapigwa wengine wanasema hakupigwa (kurushiwa chupa au viti ) ,tension imekuwa zero,uhakika wa kilichotokea umepotea.

Inahitajika backup ya kilichotokea ,hakuna haja ya kupigwa Makonda kwa habari za uzushi ,kwani UKAWA inajenga kujiamini kwa hoja na sio uzushi ,CDM CUF TLD NCCR na wengine huwezi kutumia propaganda kwa tukio linalorekodiwa ,propaganda yako haitafika mbali itazimwa kirahisi na kuonekana mnasema uwongo mbele ya macho ya wananchi.

Ni kweli fujo lilitokea hilo limesikika na kuonekana lakini hili la kupigwa Jaji Warioba bado ,inawezekana alitaka kuvamiwa kwa action za picha ,tuwekeni mikakati katika ukweli kwa baadhi ya mambo kama haya.
 
alikua anaokoa mbona
1015825_877327048952628_4325935954782400751_o.jpg
 
Let us JF to be honest ,ITV walikuwepo ,Jaji Warioba mhusika mkuu yupo hai na akina Butiku wapo na wanacheria wengine pia nao walikuwepo wapo ,zaidi ,muhimu ni huyu mhusika mkuu aite press conf, au watu wa press wamuendee kwake ofisini wahojiane nae ,tusiwe katika njia ya waongo kwani njia ya muongo ni fupi.Leo mnasema warioba kapigwa wengine wanasema hakupigwa (kurushiwa chupa au viti ) ,tension imekuwa zero,uhakika wa kilichotokea umepotea.

Inahitajika backup ya kilichotokea ,hakuna haja ya kupigwa Makonda kwa habari za uzushi ,kwani UKAWA inajenga kujiamini kwa hoja na sio uzushi ,CDM CUF TLD NCCR na wengine huwezi kutumia propaganda kwa tukio linalorekodiwa ,propaganda yako haitafika mbali itazimwa kirahisi na kuonekana mnasema uwongo mbele ya macho ya wananchi.

Ni kweli fujo lilitokea hilo limesikika na kuonekana lakini hili la kupigwa Jaji Warioba bado ,inawezekana alitaka kuvamiwa kwa action za picha ,tuwekeni mikakati katika ukweli kwa baadhi ya mambo kama haya.

Mbona umeonesha msimamo wako tayari? Hukua na haja ya kuweka kwa mtindo wa swali.
 
HIyo picha hapo juu inaonyesha kabisa kuwa jaji anamuangalia makonda kwa umakini usio wa kawaida na makonda anaonyesha uso wa ukali kwa jaji! Pls mwiba hebu angalia picha kwa umakini!!
 
HIyo picha hapo juu inaonyesha kabisa kuwa jaji anamuangalia makonda kwa umakini usio wa kawaida na makonda anaonyesha uso wa ukali kwa jaji! Pls mwiba hebu angalia picha kwa umakini!!

Hehehehe sura ya mtu ambae anataka kumpiga mtu unaijua?
Inaonesha wewe umekaa mitaa ya wenyewe hujui hata ugomvi unakuaje!
Ukweli ila usemwe tu, labda wakaedit faster tu walete picha nyengine ila hizi tunazoona Makonda hakumpiga wala kutaka kumpiga Warioba kwa mujibu wa hiii picha
 
alikua anaokoa mbona
1015825_877327048952628_4325935954782400751_o.jpg
picha iko waz kabisa makonda anataka kumpiga babu yetu warioba anazuiwa apo angekuwa na jambo jema isingekuwa hvyo yan makonda kamtukana babu kwenye bunge la katiba eti leo amwokoe asipigwe hili limesha julikana na kijana kashaandika history
 
Makonda atakuwa Mkwe wa FaizaFoxy.

Huyu kungwi baada ya kuwa kazidiwa na Warioba kwa kila kitu, kaamua kumtumia huyu Mume wa Mwanaye kumpiga Jaji Joey.

Nyamizi , hebu tia ujumbe kwa huyu Mmama FaizaFoxy.......
 
Back
Top Bottom