Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
we hauna maana unang'ata huku unapulizaaa
 
Mimi yale mavazi yake aliyovaa ndo yaliniacha hoi. Mkuu wa Mkoa?. Tena Mkoa wa Dar. Haoni mavazi waliyovaa Wakuu kama Mhe.Sendeka na Mhe. Gambo.. Mavazi ya heshima kabisa.
 
Huyo bashite nyie ndiyo mnampa kichwa kwa kujadili mtu kama yeye, what would you exactly expected from that zero brain
 
Atawatesa sana. Na bado. Mtaandika mtachoka mtaanza kulia!
 
Too much allegations,why mnachukia binadamu mwenzenu hivi?
Hakuna anayemchukia bali matendo na kauli zake zisizo na chujio ndizo zinazochukiza watu wastaarabu!
Hebu akue basis eeh!
 
Atawatesa sana. Na bado. Mtaandika mtachoka mtaanza kulia!
Nawe utateseka na kuchoka kumtetea hadi utaacha kuandika habari zake humu na Italia Sana kujutia muda na nguvu zako ulizopoteza kumtetea asiyeweza kubadilika!
Hivi huoni aibu kusimama upande wa mwenye tabia mbaya?
 
Hata wewe shabiki kindaki ndaki ulitakiwa kunyamaza baada ya makonda kuombewa msamaha, lakini umepachika bandiko lako ili mjadala uendelee. Umefanya vyema maana kunyamazia jambo linalokera ni unafiki.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…