Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
Ubuyu Huu cjaupata mkuu Wapi alitangaza Deni la kubenea?
 
Kibaya zaidi pamoja na chuki zenu kwake, lakini mwaka kesho anakuwa mbunge
 
Miss madeko , alisema kwa wale waliosaidiwa na dr Mengi , yeye akamtaja na kubenea wana deni kubwa kwa mengi , yaani katika kumuenzi.


Aende kule walikuwa wameagana na KUBENEA kwenda kutajana?
 
Swala ni kwamba hapendwi na watu na hawataki kumuona polite sembuse utani? Akataniane na familiar yake sisi hatutaki utani na 0
 
Bwana mkubwa wa Magogoni huwa anasikiliza na kuyasoma maoni ya watu, halafu anafanya maamuzi kwa utashi wake. Ukitaka kumpelekesha ndio umeharibu kila kitu.
 
Kuna laana zinamnyemelea mtu... na laana hazijapata kumsalimisha mlaaniwa mpaka atubu kikwelikweli pasi unafiki katika nafsi.
 
Makonda na Ruge walipatanishwa jukwaani Tanga na rais Magufuli, tukio la kanisani ni la kujirudia.
 

Siku zote Sikio la Kufa huwa halisikii dawa.
 
Too much allegations,why mnachukia binadamu mwenzenu hivi?

Na Mimi nakuomba utusadie Kutuulizia kwamba Tanzania nzima hasa katika Awamu hii Viongozi walioteuliwa na Rais Dkt. JPM ni wengi sana, ila ni kwanini anadhani Yeye ndiyo ' anawakera ' karibia 85% ya ' Population ' ya Watanzania ama wale walioko ndani au nje ya Tanzania?
 
Huyo kijana hana adabu hata kidogo

Mkumbusheni tu hapo bomani wamepita manguli wa siasa kina makamba ila na uzee wao hawakuwahi kudhalilisha mtu
 
Hoja zako ziko vizuri, hasa 4 na 5, hizo zina uzito zaidi. Lakini bado kuna watu huwezi ukawaambia lolote wakakuelewa.
 
huyu hapa gavana wa nairobi mike sonko amevaa hereni sikioni, saa mbili kila mkono na saa yake na bonge la nyororo shingoni lakini haonekani ni muhuni nchini kenya kwa sababu ya mavazi yake,
Lakini makonda wachawi wake mapovu yanawatoka kwa kuvaa jinsi tu..
 
Makonda alivimbishwa kichwa pale as a junior government official (mkuu wa wilaya) and young, alipoteuliwa kuwa rc dar, jiji kubwa la nchi. Badala ya kujifunza, aliona amehitimu kiutawala. Kumlaumu mwamuonea.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…