Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

Kumbe hata picha za kufanya kolabo na Diamond zitakuwa zilipigwa Madale.

Jamaa nyota iligoma kabisa toka B2K ife, ila yuko powa
Wao nyota za mziki zikigoma hawawezi kuwafikia hawa ndugu zako Kwa mchararo
Daz baba
Mr Nice
Rado
O ten
Twenty per 20
 
Ndiyo zake ashazimaga mziki dar fish market na ashatiaga timu Masai kino pia....
Akipata taarifa yoyote ya wapi pans bamba lzma Aende ili mumjue Ye nani!

Ova
 
Katika hali ile ile ya ubabe na mabavu mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amefanya fujo ya ajabu na yaaibu kwenye show ilioandaliwa na kile kikundi asemacho akieacho (WCB) ya msanii maarufu Diamond Platnumz kwa kugombana na rapa na msanii wa kimarekani "omarion" aliekuwa anafanya show yake hapa nchini kisa Bashite (Makonda) kukaa VIP na kutaka club nzima imtambue kama yupo na pia baada ya kuzinguliwa na kuambiwa atoke kwenye siti ya mwanamziki huyo aliokuwa amewekwa VIP aliamurisha mziki kuzimwa mara moja kwa jeuri..

Tizama video hii yenye ufafanuzi mzuri juu ya "Mali ya Mungu wa Magufuli"

 
Wanaume wa daslam nani kawaroga? Mnafuatilia vitu vya kijinga sana vya kuaminishwa na mtumia .peddy......
 
Huu ni umbea wakiwango cha lami mbn hata video yenyew hamna sasa mbwembwe nyingi kweli.acheni unafiki nyie watu kuna siku ya mwisho mkumbuke
 
Cha!! yaan huu Uzi wako ulivyoutengeneza kama vile upo YouTube unatafuta viewers upige mpunga. Huku JF hakuna hayo mambo mkulu
 
Back
Top Bottom