Makonda awe makini na mji wa Arusha

Makonda awe makini na mji wa Arusha

Arusha ni mji wa wafanyabiashara huwenda kuliko miji yote Tanzania

Arusha kila mtu ni mfanyabiashara

Arusha wahuni ni wengi saana

Juzi nipo na wazee na viongozi baadhi waandamizi wa CCM mkoa wa Arusha, wengi wanaonesha kukerwa sana na Anayoyafanya Makonda kwa Gambo.

Wazee hawamkubali kabisa kabisa, kwanza anaharibu biashara za watu kila siku anaziba barabara kwaajili ya maslahi yake kisiasa
Bado anaharibu taswira ya chama kwa kuropoka hovyo kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa.

Lakini cha muhimu zaidi, tangu aende Arusha hakuna ch maana kilichobadilika Arusha tofauti na Mwanzo

Kiufupi, Makonda ni Mzigo
Waongeze dozi ya sumu ile waliyompiga haikutosha.
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Arusha ni mji wa wafanyabiashara huwenda kuliko miji yote Tanzania

Arusha kila mtu ni mfanyabiashara

Arusha wahuni ni wengi saana

Juzi nipo na wazee na viongozi baadhi waandamizi wa CCM mkoa wa Arusha, wengi wanaonesha kukerwa sana na Anayoyafanya Makonda kwa Gambo.

Wazee hawamkubali kabisa kabisa, kwanza anaharibu biashara za watu kila siku anaziba barabara kwaajili ya maslahi yake kisiasa
Bado anaharibu taswira ya chama kwa kuropoka hovyo kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa.

Lakini cha muhimu zaidi, tangu aende Arusha hakuna ch maana kilichobadilika Arusha tofauti na Mwanzo

Kiufupi, Makonda ni Mzigo
Makubwa
 
Back
Top Bottom