Repy yako # 39Wapi nimesema wote walioshinda kimagumashi ni kabila moja na jiwe
Repy yako # 39Wapi nimesema wote walioshinda kimagumashi ni kabila moja na jiwe
Aona Gambo anamtisha Konda kupitia wazee. Hawa lazima wawekeane sumu kwa namna wanavyotfutana.Arusha ni mji wa wafanyabiashara huwenda kuliko miji yote Tanzania
Arusha kila mtu ni mfanyabiashara
Arusha wahuni ni wengi saana
Juzi nipo na wazee na viongozi baadhi waandamizi wa CCM mkoa wa Arusha, wengi wanaonesha kukerwa sana na Anayoyafanya Makonda kwa Gambo.
Wazee hawamkubali kabisa kabisa, kwanza anaharibu biashara za watu kila siku anaziba barabara kwaajili ya maslahi yake kisiasa
Bado anaharibu taswira ya chama kwa kuropoka hovyo kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa.
Lakini cha muhimu zaidi, tangu aende Arusha hakuna ch maana kilichobadilika Arusha tofauti na Mwanzo
Kiufupi, Makonda ni Mzigo
Sijaandika hivyoRepy yako # 39
Wewe ni team Gambo....vumilia spana za Makonda kwa bossi wenu.Arusha ni mji wa wafanyabiashara huwenda kuliko miji yote Tanzania
Arusha kila mtu ni mfanyabiashara
Arusha wahuni ni wengi saana
Juzi nipo na wazee na viongozi baadhi waandamizi wa CCM mkoa wa Arusha, wengi wanaonesha kukerwa sana na Anayoyafanya Makonda kwa Gambo.
Wazee hawamkubali kabisa kabisa, kwanza anaharibu biashara za watu kila siku anaziba barabara kwaajili ya maslahi yake kisiasa
Bado anaharibu taswira ya chama kwa kuropoka hovyo kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa.
Lakini cha muhimu zaidi, tangu aende Arusha hakuna ch maana kilichobadilika Arusha tofauti na Mwanzo
Kiufupi, Makonda ni Mzigo
Labda KARMA imeanza Kazi zake !Arusha ni mji wa wafanyabiashara huwenda kuliko miji yote Tanzania
Arusha kila mtu ni mfanyabiashara
Arusha wahuni ni wengi saana
Juzi nipo na wazee na viongozi baadhi waandamizi wa CCM mkoa wa Arusha, wengi wanaonesha kukerwa sana na Anayoyafanya Makonda kwa Gambo.
Wazee hawamkubali kabisa kabisa, kwanza anaharibu biashara za watu kila siku anaziba barabara kwaajili ya maslahi yake kisiasa
Bado anaharibu taswira ya chama kwa kuropoka hovyo kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa.
Lakini cha muhimu zaidi, tangu aende Arusha hakuna ch maana kilichobadilika Arusha tofauti na Mwanzo
Kiufupi, Makonda ni Mzigo
Ni Rahisi kutabiri malengo ya mleta mada!Kiufupi, Makonda ni Mzigo
Yaani Arusha ishinde dar salamuSasa unamhamsha wa nini ? achana naye. Kiongozi hawezi ropoka namna ile
Naendelea kusubiri mrejeshoArusha ni mji wa wafanyabiashara huwenda kuliko miji yote Tanzania
Arusha kila mtu ni mfanyabiashara
Arusha wahuni ni wengi saana
Juzi nipo na wazee na viongozi baadhi waandamizi wa CCM mkoa wa Arusha, wengi wanaonesha kukerwa sana na Anayoyafanya Makonda kwa Gambo.
Wazee hawamkubali kabisa kabisa, kwanza anaharibu biashara za watu kila siku anaziba barabara kwaajili ya maslahi yake kisiasa
Bado anaharibu taswira ya chama kwa kuropoka hovyo kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa.
Lakini cha muhimu zaidi, tangu aende Arusha hakuna ch maana kilichobadilika Arusha tofauti na Mwanzo
Kiufupi, Makonda ni Mzigo
Acha uongo weweWachaga wakiondoka Arusha kipindi cha mwisho wa mwaka mji unabakigi kama gofu
Labda ww unakaa arusha ya Karatu au ngarenanyuki
Wewe hujui siasa za Arusha kabisa. Hao wazee uliokuwa nao hawana impact. Utamlaumu bure Makonda ila Gambo hatakiwi na wakubwa pia achilia mbali viongozi mkoa wa Arusha. Gambo enzi zake aliwazingua mno tour operators... kumbuka pia ndo aliyesimamia uporaji kwenye bureau de changes. Gambo hatakiwi kabisa. Makonda kuja Arusha ni kama imerahisisha kazi ya kumnyoosha Gambo. Kimsingi Gambo ni mbunge wa muhula mmoja.Arusha ni mji wa wafanyabiashara huwenda kuliko miji yote Tanzania
Arusha kila mtu ni mfanyabiashara
Arusha wahuni ni wengi saana
Juzi nipo na wazee na viongozi baadhi waandamizi wa CCM mkoa wa Arusha, wengi wanaonesha kukerwa sana na Anayoyafanya Makonda kwa Gambo.
Wazee hawamkubali kabisa kabisa, kwanza anaharibu biashara za watu kila siku anaziba barabara kwaajili ya maslahi yake kisiasa
Bado anaharibu taswira ya chama kwa kuropoka hovyo kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa.
Lakini cha muhimu zaidi, tangu aende Arusha hakuna ch maana kilichobadilika Arusha tofauti na Mwanzo
Kiufupi, Makonda ni Mzigo
Eleza kilichofanyika zaidi ya sherehe za kila sikuwewe sio mkazi wa Arusha ni mbea flani hivi kutoka mikoa ya ukanda wa Magharibi.
Hujui chochote.Arusha ni mji wa Wamasai na Wameru. Wachaga ni wakuja tu kama Wasukuma na makabila mengine hapo Arusha. Eti Wachaga wa Arusha!!
Waambie hao wajinga.Wachaga wakiondoka Arusha kipindi cha mwisho wa mwaka mji unabakigi kama gofu
Labda ww unakaa arusha ya Karatu au ngarenanyuki
Sasa kuna jambazi kuu kama Makonda?Inaoneka wewe utakuwa ni mdhulumati na una hulka ya wizi wizi na kupenda shortcuts kama ilivyo asili yenu watu wa kaskazini na hivyo basi lazima makonda awe adui yako.
huwezi kuelewa hadi umeelewa.Kumbe arusha Arusha ni mji wa wafanyabiashara huwenda kuliko miji yote Tanzania!! Aise sometimes muweke na akiba ya maneno
Kuna Dar na Mwanza, sijui unayachukuliaje majiji haya!
# 39 umekazia ukabila ✅️.Tupe proof hawakushinda lakini wakatangazwa washindi na lengo lilikuwa ni nini?Sijaandika hivyo
Jimbo la Hai Mbunge aliyetangazwa hakushinda .
Mbeya Mjini hakushinda
Wote hao hawakuwa kabila moja na jiwe .
Nimekutajia baadhi ya majimbo ambayo wagombea wa ccm walitangazwa washindi kimagumashi wote hawakuwa kabila moja na jiwe
Ndio maana yuko Arusha, hili adeal vizuri na majambazi wenzieSasa kuna jambazi kuu kama Makonda?
Vita yao kuu ni UBUNGEHuyo jamaa anatamani sana kuwa mbunge,
wakati yupo dar alitaka kuwa mbunge wa kigamboni akafeli,
leo yupo arusha anatamani awe mbunge wa uko, halafu makonda na gambo si walikua vipenzi vya mwenda zake hawa!
sasa mbona wanararuwana wenyewe kwa wenyewe?.
Kwahiyo unataka kutuambia Arusha ni ya Wachaga au? Sawa na kusema Dar siyo ya Wazaramo na Wakwere. Hatuzungumzii uwekezaji bali wanyeji wa eneo husika. Acha kuwa na akili za kinyumbu.Hujui chochote.
50% ni uwekezaji wa wachaga..
Gusa kila biashara kubwa ni wachaga, hardware kubwa 80%
Hotel kubwa 80%
MAsoko yote makubwa na madogob70%
Wamejaa wachaga