Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Tamko hili limetolewa na Ocampo four. Bahati nzuri ni kwamba Makonda ni kichwa majiWafu wakiwa kwenye harakati ya kuzikana kwa kasi kabla ya uchaguzi October!
Cc ocampo four vs Lizaboni
Tamko hili limetolewa na Ocampo four. Bahati nzuri ni kwamba Makonda ni kichwa majiWafu wakiwa kwenye harakati ya kuzikana kwa kasi kabla ya uchaguzi October!
Cc ocampo four vs Lizaboni
Kama wameshindwa hata kutoa tarehe ambayo Paul Makonda ametamka maneno hayo bila shaka hata hoja zao hazina msingi
Mkuu, hata mie nashangaa sana. Lowasa amejichafua mwenyewe
Kama siyo vituko vya uchaguzi nini hivi Lowassa naye ni wakuchafuliwa?.
Hivi huyu paul makonda ni nani??
MAGAMBA YANARUKA NA KUKANYAGANA! Kazi kweli kweliMkuu, hata mie nashangaa sana. Lowasa amejichafua mwenyewe
Ushahidi huu hapa, jamaa akiwa na ITV na Star TV,
Jamaa hachomoki hapa, aende tu akawapigie magoti. Wamemshika pabaya
Walichelewa sana kumuadabisha huyu Mla msuba changa, Mara Warioba, mara Msindai, Mara guninita, mara Lowassa... Butiku kumbe alikuwa anajua mchezo wote ndo maana akasema kuwa Makonda anaongea kwa niaba ya Membe... Boss wake inabidi ajiangalie upya otherwise itamharibia Zaidi ... nje ya CCM, sisi tunaichukulia hili sakata kama Mnara wa Babel unaanza kuporomoka! Makonda anatumwa Mwiko yeye anapeleka sururu ...
Walichelewa sana kumuadabisha huyu Mla msuba changa, Mara Warioba, mara Msindai, Mara guninita, mara Lowassa... Butiku kumbe alikuwa anajua mchezo wote ndo maana akasema kuwa Makonda anaongea kwa niaba ya Membe... Boss wake inabidi ajiangalie upya otherwise itamharibia Zaidi ... nje ya CCM, sisi tunaichukulia hili sakata kama Mnara wa Babel unaanza kuporomoka! Makonda anatumwa Mwiko yeye anapeleka sururu ...
Taja mmoja tu aliye msafi ndani ya ccm. Hapa ni madodoki tu kwa kwenda mbele, ccm oyee!!
Mkuu umeniacha hoi kwa kicheko,kwamba Makonda anatumwa mwiko ye analeta sururu.hahaaaaaWalichelewa sana kumuadabisha huyu Mla msuba changa, Mara Warioba, mara Msindai, Mara guninita, mara Lowassa... Butiku kumbe alikuwa anajua mchezo wote ndo maana akasema kuwa Makonda anaongea kwa niaba ya Membe... Boss wake inabidi ajiangalie upya otherwise itamharibia Zaidi ... nje ya CCM, sisi tunaichukulia hili sakata kama Mnara wa Babel unaanza kuporomoka! Makonda anatumwa Mwiko yeye anapeleka sururu ...