OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Ka Makonda Mamvi akichukuwa nchi sijuwi kataenda kulimia Wapi
Uzuri wa Edward hana chuki wala kisasi......
Ka Makonda Mamvi akichukuwa nchi sijuwi kataenda kulimia Wapi
Huyo mwenye ulimi mzito 2016 nadhani ataishi uhamishoni sudani kusini
Eti jamaa ni bwabwa!
Tamko hili limetolewa na Ocampo four. Bahati nzuri ni kwamba Makonda ni kichwa maji
Kama wameshindwa hata kutoa tarehe ambayo Paul Makonda ametamka maneno hayo bila shaka hata hoja zao hazina msingi
ufisadi tu, sasa bwana mdogo atatoa wapi hizo pesa!
Afu imeandikwa wapi!
Hapo hajaingia madarakani ukiropoka tu kidogo 100million unalipa....Akiingia madarakani je??
Mungu nisaidie nipe Neema ya kuishi miaka 100
Mmeanza kujihami fuunbafu,mmemchafua Lowassa sana sasa mkathibitishe madai hayo mahakamani sio kuanza kujihami kutumia mwavuli wa Uhuru wa kuropoka,Vitisho vimepamba moto! Ujumbe unaotumwa hapa kwa jamii ni kwamba, yeyote asithubutu kumsemea ovyo Lowassa, atakiona cha motoooooo! Watu wote ndani ya CCM wanyamaze kimya, wamwache Lowassa achanje mbuga kwenda Ikulu, bila kupingwa!
Habari haijakamilika. Ni nani anamtaka Makonda aombe msamaha na kulipa hizo milioni 100?
Katika vijana wa yule fisadi wewe ni yupi miongoni mwao.
Hii barua ilivyoandikwa sijui.
Back to the topic,hakuna seriousness katika siasa za Tanzania na hili litapita kimya kimya wala halitasikika tena.
Makonda mropokaji atajuuuuuuta na huyu mtu pindi atakapoikamata nchi hii
Kijana Paul Makonda ametakiwa kuomba msamaha kwa tuhuma alizotoa kwamba mwenyekiti wa CCM Singida anatumiwa na Lowassa kuhujumu chama.Vilevile ametakiwa kumwomba msamaha Lowassa.
Ametakiwa aombe msamaha kupitia vyombo vya habari na kulipa kiasi cha milioni 100.
hivi lowassa ni mtu wa kuhemiwa???ndo mjifunze kuheshimu watu siyo kuropoka tu;huwa namshangaa makonda maana ni mtu asiye na kazi ya kufanya anaishije?analipwa kwa kutukana tu watu siyo?
Bwana mdogo anatumika na haijui vizuri CCM. Ngoja atoswe na hao waliokuwa wakimtuma kama hatalazimika kwenda kumrembulia macho Guninita ili amsamehe.
Kama usipo thibitisha hilo unatakiwa upigwe ban mods angalieni hiloHili jizi limeanza kutisha watu wasiseme ukweli kisa linataka kwenda Ikulu kwa gharama yoyote! Limemjengea Msindai nyumba pale Singida mjini! Edwar Lowassa ni mwizi,fisadi asipewe nafasi ya kwenda Ikulu ni jambaaazi
Jamaa akiwa Rais ukimsema vibaya unadaiwa ma billion