Hakuna haja wala mantiki ya kuwa-harass watu watakaotaka kwenda Jangwani hiyo ni haki yao kikatiba. Lakini sidhani kama kuna natural motivation (from the heart) ya watu kwenda Jangwani kesho. Watakaojitokeza ni lazima watakuwa na masilahi binafsi na CCM na si kwa ajili ya Taifa.
Waacheni waende kwani mkiwazuia watashindwa kupambanua nini hasa kinaendelea nchini. Kwa kuwa sijasikia KOVA kusema watu wasiandamane, ninaamini mkutano huu haujapata publicity ya kutosha. Mvutano kati ya polisi na CDM ni moja kati ya matangazo rahisi kabisa kuhusu mikutano ya CDM, maana ukitafuta approval rating ya Polisi utakuwa ipo around 2% na hii ni kwa wanasiasa wa CCM, polisi wenyewe na familia zao. Zimwi likisimama mbele ya mtu umpendaye utajiunga na umpandaye kumshinda nguvu Zimwi.
Waacheni waende kwani mkiwazuia watashindwa kupambanua nini hasa kinaendelea nchini. Kwa kuwa sijasikia KOVA kusema watu wasiandamane, ninaamini mkutano huu haujapata publicity ya kutosha. Mvutano kati ya polisi na CDM ni moja kati ya matangazo rahisi kabisa kuhusu mikutano ya CDM, maana ukitafuta approval rating ya Polisi utakuwa ipo around 2% na hii ni kwa wanasiasa wa CCM, polisi wenyewe na familia zao. Zimwi likisimama mbele ya mtu umpendaye utajiunga na umpandaye kumshinda nguvu Zimwi.