juu kwa juu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 260
- 38
Ulaaniwe ewe uletaye ubaguzi tz. Mod naomba umban huyu jamaa basha.Copy hiyo meseji na uitume kwa ndugu na marafiki wako wote kabla ya kesho.
Ulaaniwe ewe uletaye ubaguzi tz. Mod naomba umban huyu jamaa basha.Copy hiyo meseji na uitume kwa ndugu na marafiki wako wote kabla ya kesho.
Ulaaniwe ewe uletaye ubaguzi tz. Mod naomba umban huyu jamaa basha.
Hamna shida tutaenda kuvalia jangwani!! hamna shida!!Chama cha makonda mkoa wa Dar-s-salaam (CHACHAMADA) na baadhi ya wamiliki wa
mabus hayo ya usafiri ndani ya jiji la Dar wamekutana leo alfajiri somewhere(secret me
eting) na kwa pamoja wameridhia kuwa kesho siku ya Jumamosi mtu yeyote atakaevaa
vazi(nguo)yeyote inayoashiria sare ya CCM(kijani au njano) hatoruhusiwa kupanda dala
dala yoyote....zoezi hili litaanza kesho kuanzia saa 11 alfajiri hadi saa mbili usiku. Baada
ya mda huo unaruhusiwa kuvaa nguo yenye rangi yeyote na ruksa kupanda daladala ye
yote.
Angalizo: Siyo watu wengi wanaoingia na kutumia mtandao wa JF. So ikopi hii message
kama inavyojieleza kwa kutumia simu yako ya mkononi na uwatumie ngugu na marafiki
zako wote wanaoishi ndani ya Dar na wanategemea usafiri wa mabus (Dala dala).
Najua kuna baadhi ya watu watapinga habari hii....lakini mzarau mwiba mguu huota tende.
Source - ni mtu wangu wa jikoni anaemiliki daladala 5 zenye route tofauti hapa Bongo...UTAKI UNAACHA.
nasikia kutapika
Siungi mkono huu ukandamizaji kwani kila mtu ana haki na uhuru wa kufata chama anachokipenda.
Siungi mkono huu ukandamizaji kwani kila mtu ana haki na uhuru wa kufata chama anachokipenda.
Wangewaruhusu tu waendee kuchukua t-shirt za kudekia na hela za kuchangia M4C
ktk watu wabaguzi ,wapuuzi na wasio na utaifa ni wewe njowepo mbona hukusema hivyo wakati wa mktano wETU WA CDM. Huo ni uzandiki. Pole sana njowepo
Habari ndiyo hiyo....ukiwa kwenye kijani au njano imekula kwako.sorry rafiki yangu njowepo im mean bashadido ndio maana unaitwa basha huna maadili.
Ahsante kwa hilo jibu....akaangaikenalo maisha yake yoteUlaaniwe nawe magamba kwa neno la kijinga kama wana kucameron ni wewe usimsingizie mwingine