Inawezekana kabisa hatufehemu hebu tusaidie [emoji1545]Unajua kwa nini mpaka sasa mnamjadili makonda?
Japo ukweli ni mchungu lazima tuseme Marehemu Magufuli hakuwa kiongozi matured, na alichangia sana kuharibu vijana hasa malimbukeni kama Makonda, Sabaya na wengine. Kitendo cha kuwaruhusu kumiliki vikundi vya wahuni kutumia silaha za umma na pengine hata kulipwa mishahara na posho ili kulinda viongozi vijana wahuni haikuwa sawa hata kidogo[emoji419][emoji375]Leo hii hata akiteuliwa Musiba watakaolia ni ccm zaidi kama wanavyolia sasa.
Makonda aliishi kwa kudeka na kujikomba kwa Magu.
Kuna siku nilimsikia Anthony Mtaka wakati akihamia Dodoma, alimsifia sana RC aliyekuwa, anamkabidhi kwa ustaarabu wake na unyenyekevu. Alisema yule mzee ilikuwa kawaida kumuona sokoni au madukani akiwa na mkewe tu. Hakuwa na mabaunsa wa kusumbua raia.
Japo ukweli ni mchungu lazima tuseme Marehemu Magufuli hakuwa kiongozi matured, na alichangia sana kuharibu vijana hasa malimbukeni kama Makonda, Sabaya na wengine. Kitendo cha kuwaruhusu kumiliki vikundi vya wahuni kutumia silaha za umma na pengine hata kulipwa mishahara na posho ili kulinda viongozi vijana wahuni haikuwa sawa hata kidogo.
Magu amekufa march 17,2022. Akamuacha Makonda kwenye mataa,kama kweli ule ulinzi ulikuwa na tija, mbona hatuoni ubaya aliolipizwa!!
Alifuga watu wajinga na kuwajengea tabia mbaya sana. Ni Makonda aliyekataa kulipia Kodi makontena aliyodai Yana vifaa vya shule, kama siyo uimara wa Dr Mpango aliyesema lazima alipe mpaka Magu akaona aibu ikabidi aingilie kati kuwa ni lazima Makonda alipe Kodi.
Ni wajinga tu ndio watamuogopa Makonda sasa hivi, na vile Mungu alitukumbusha kutowatumainia wanadamu tarehe 17/03/2021. Ni wapumbavu pekee ndo watakaotishwa na Makonda.
Ni wajinga tu ndio watamuogopa Makonda sasa hivi, na vile Mungu alitukumbusha kutowatumainia wanadamu tarehe 17/03/2021. Ni wapumbavu pekee ndo watakaotishwa na Makonda.[emoji419][emoji419][emoji375]Leo hii hata akiteuliwa Musiba watakaolia ni ccm zaidi kama wanavyolia sasa.
Makonda aliishi kwa kudeka na kujikomba kwa Magu.
Kuna siku nilimsikia Anthony Mtaka wakati akihamia Dodoma, alimsifia sana RC aliyekuwa, anamkabidhi kwa ustaarabu wake na unyenyekevu. Alisema yule mzee ilikuwa kawaida kumuona sokoni au madukani akiwa na mkewe tu. Hakuwa na mabaunsa wa kusumbua raia.
Japo ukweli ni mchungu lazima tuseme Marehemu Magufuli hakuwa kiongozi matured, na alichangia sana kuharibu vijana hasa malimbukeni kama Makonda, Sabaya na wengine. Kitendo cha kuwaruhusu kumiliki vikundi vya wahuni kutumia silaha za umma na pengine hata kulipwa mishahara na posho ili kulinda viongozi vijana wahuni haikuwa sawa hata kidogo.
Magu amekufa march 17,2022. Akamuacha Makonda kwenye mataa,kama kweli ule ulinzi ulikuwa na tija, mbona hatuoni ubaya aliolipizwa!!
Alifuga watu wajinga na kuwajengea tabia mbaya sana. Ni Makonda aliyekataa kulipia Kodi makontena aliyodai Yana vifaa vya shule, kama siyo uimara wa Dr Mpango aliyesema lazima alipe mpaka Magu akaona aibu ikabidi aingilie kati kuwa ni lazima Makonda alipe Kodi.
Ni wajinga tu ndio watamuogopa Makonda sasa hivi, na vile Mungu alitukumbusha kutowatumainia wanadamu tarehe 17/03/2021. Ni wapumbavu pekee ndo watakaotishwa na Makonda.
Huyu kiumbe si wa kucheka nae. Muda si mrefu uko CCM watalia tena kuwa naye. Ni swala la muda tu!! Hotuba ya kwanza tu kesha anza mbwembwe zake kwa Mawaziri na MaRC. Keshasahau kazi zake kama mwenezi na kurukia majukumu yasiyomuhusu. Kila jamii kuna maboya, kuna wale wanaomwona jasiri na shupavu kwa matendo yake ya hovyo.Ni wajinga tu ndio watamuogopa Makonda sasa hivi, na vile Mungu alitukumbusha kutowatumainia wanadamu tarehe 17/03/2021. Ni wapumbavu pekee ndo watakaotishwa na Makonda.[emoji419][emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Keshasahau kazi zake kama mwenezi na kurukia majukumu yasiyomuhusu. Kila jamii kuna maboya, kuna wale wanaomwona jasiri na shupavu kwa matendo yake ya hovyo.[emoji419][emoji375]Huyu kiumbe si wa kucheka nae. Muda si mrefu uko CCM watalia tena kuwa naye. Ni swala la muda tu!! Hotuba ya kwanza tu kesha anza mbwembwe zake kwa Mawaziri na MaRC. Keshasahau kazi zake kama mwenezi na kurukia majukumu yasiyomuhusu. Kila jamii kuna maboya, kuna wale wanaomwona jasiri na shupavu kwa matendo yake ya hovyo.
Dada Mbona twaarabu kwenye Jukwaa la politik.Aaahaàa
Nchi ilipoa hiii
Japo lengo la Makonda kuletwa ili kufunika inshu ya bandari ila amefanya maradufu zaidi ya hicho
Amewaibua watoa taarifa toka mapangoni
Aahaaaa
Unaongea km mke wa Makonda.Watoa taarifa wanahaha huku na huko
Wanabwekea kila mti
Hapana naongea kama basha akoUnaongea km mke wa Makonda.