Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Na wale kinamama waliotelekezwa na watoto wao, aliwaitaga pale ofisini kwake....leo hawakwenda??š
Na wale kinamama waliotelekezwa na watoto wao, aliwaitaga pale ofisini kwake....leo hawakwenda??š
Kwanza kaendesha pikipiki bila helmet leo, SHERIA ifuate mkondo wakeTutofautishe nyakati
Tutofautishe nguvu
Tutofautishe ubabe
Tutofautishe uthubutu
Tutofautishe nafasi za kimamlaka serikalini na kwenye chama cha siasa
Ukatibu mwenezi wa chama ni tofauti kabisa na u DC ama u RC.. Ukiwa DC wewe ndio rais wa wilaya.. Yaani kiwilaya hakuna mamlaka mengine ya juu zaidi
Ukiwa RC wewe ndio rais wa mkoa hakuna nafasi ya juu zaidi kimkoa kuzidi hiyo.. Vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yako na una amri ya kimamlaka juu yao
Ukiwa katibu mwenezi wa chama huna madaraka ya kimamlaka na cycle ya watu inayowajibika kwako ni ndogo sana.. Na huna say ya mwisho kwenye lolote.. Ni lazima upokee maagizo kutoka juu
Kwenye hiyo nafasi ya kichama hakuna kamati ya usalama yenye kukusikiliza wewe ..na huna uwezo wa kusweka watu ndani utakavyo!
Makonda alipaishwa kipindi cha mkono wa chuma usioogopa kitu naye akapaa na kuenea vema.. Maguvu na ubabe bila staha kwa mkubwa wala mdogo ndio vilikuwa hobby yake! Alijisikia furaha sana,kudhalilisha yeyote kutokana na madaraka ya kimamlaka aliyokuwa nayo
Sasa hizi ni nyakati tofauti sana na zile.. Na nafasi aliyonayo haina nguvu ya kuamrisha kama zile nyingine... Na kibaya zaidi ndani ya chama kuna mipasuko kama ardhi ya kiangazi.. Huko hakuna ubabe na kuamrisha.. Na kuteuliwa kwake kumezidisha mipasuko.. Kwahiyo ni mwendo wa mitifuano nyuma ya zulia na mitafutano...
Mpaka hapo keshapwaya pakubwa.. Badala ya kung'ara na kuwika anaweza kufunikwa na wanazi wa chama asisikike wala asifurukute kabisa.. Kwakuwa hata ndani ya chama ana maadui wa kutosha sana!
Kitakachomuokoa labda awe kawekwa hapo kwa muda ili kusoma upepo kabla hajapewa nafasi inayoendana na kaliba yake ya kupayuka, kudhalilisha na kutumia maguvu hata panapohitaji diplomasia
Akiachwa hapo atakonda mpaka atapepesuka mwisho tukamuokote MakondekoView attachment 2793723
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao zamu yao kesho ofisiniNa wale kinamama waliotelekezwa na watoto wao, aliwaitaga pale ofisini kwake....leo hawakwenda??[emoji16]
Waendelee kuzalishwa tu hao single mother kwenye mikutano ya ccm na mwenge
Hii sasa balaa..Kabla hatujakutetea tunajiuliza baadhi ya maswali.
1, Wewe hukuuwa Watu?
2, wewe hukutesa watu?
3, Wewe hukubambikizia watu kesi za uhujumu uchumi?
4, wewe hukubambikizia watu (Gwajima na Mbowe) kesi za madawa ya kulevya?
5, wewe hukutukana Watu/ watumishi hadharani?
6, Wewe hukuhusika na kupoteza watu Ben sanane, Azori Gwanda?
7, Baba keagen hukuhusika na kushambuliwa kwa watanzania wenzako Mzee warioba na Mhe Tundu Lissu?
8, Baba keagen hukujimilikisha mali za watu (GSM)!kimabavu?
9, Baba keagen hukutuambia Kati ya watu wanaokula raha duniani na wewe ni mmoja wapo?
10, Baba keagen hukuhusika na tukio la kuvamia ofisi za Clouds media mchana kweupe?
11, Baba keagen hukuhusika na tukio la Nape kutolewa bastora hadharani?
BASHITE Damu ni nzito kuliko maji kwahiyo jihukumu kabla Mungu hajakuhukumu kwani hili lazima lifanikiwe kwa heshima ya Taifa.View attachment 2794692View attachment 2794693View attachment 2794694View attachment 2794695
Sent using Jamii Forums mobile app
Ambiere embu nieleweshe picha hiiTutofautishe nyakati
Tutofautishe nguvu
Tutofautishe ubabe
Tutofautishe uthubutu
Tutofautishe nafasi za kimamlaka serikalini na kwenye chama cha siasa
Ukatibu mwenezi wa chama ni tofauti kabisa na u DC ama u RC.. Ukiwa DC wewe ndio rais wa wilaya.. Yaani kiwilaya hakuna mamlaka mengine ya juu zaidi
Ukiwa RC wewe ndio rais wa mkoa hakuna nafasi ya juu zaidi kimkoa kuzidi hiyo.. Vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yako na una amri ya kimamlaka juu yao
Ukiwa katibu mwenezi wa chama huna madaraka ya kimamlaka na cycle ya watu inayowajibika kwako ni ndogo sana.. Na huna say ya mwisho kwenye lolote.. Ni lazima upokee maagizo kutoka juu
Kwenye hiyo nafasi ya kichama hakuna kamati ya usalama yenye kukusikiliza wewe ..na huna uwezo wa kusweka watu ndani utakavyo!
Makonda alipaishwa kipindi cha mkono wa chuma usioogopa kitu naye akapaa na kuenea vema.. Maguvu na ubabe bila staha kwa mkubwa wala mdogo ndio vilikuwa hobby yake! Alijisikia furaha sana,kudhalilisha yeyote kutokana na madaraka ya kimamlaka aliyokuwa nayo
Sasa hizi ni nyakati tofauti sana na zile.. Na nafasi aliyonayo haina nguvu ya kuamrisha kama zile nyingine... Na kibaya zaidi ndani ya chama kuna mipasuko kama ardhi ya kiangazi.. Huko hakuna ubabe na kuamrisha.. Na kuteuliwa kwake kumezidisha mipasuko.. Kwahiyo ni mwendo wa mitifuano nyuma ya zulia na mitafutano...
Mpaka hapo keshapwaya pakubwa.. Badala ya kung'ara na kuwika anaweza kufunikwa na wanazi wa chama asisikike wala asifurukute kabisa.. Kwakuwa hata ndani ya chama ana maadui wa kutosha sana!
Kitakachomuokoa labda awe kawekwa hapo kwa muda ili kusoma upepo kabla hajapewa nafasi inayoendana na kaliba yake ya kupayuka, kudhalilisha na kutumia maguvu hata panapohitaji diplomasia
Akiachwa hapo atakonda mpaka atapepesuka mwisho tukamuokote MakondekoView attachment 2793723
Sent using Jamii Forums mobile app
Iwe negative au positive mkuu.naamin kila mtu anao huo upande . All in all watu wamesuuzika tu.kwa mwenezi. Nyota ya mtu huwez kuizuia kamwe[emoji23][emoji23][emoji23] ni wakati wake lakini je huo ukali ni positive au ni negative?
Sent using Jamii Forums mobile app
Iwe ipo kwenye mshtarihi,mirihi au zohali. Kikubwa nyota yamtu ikiwaka kwenye milango yake haizimikiKwa kuwa waganga ni kawaida yao kuangalia mananzili yanasemaje kuhusiana na mtu husika kwa huyu naomba tuweke pembeni elimu falaq apewe miezi ndio watu warudi kumjadili sio kwamba nimekwepa swali lako ila tuliwache kwanza!
Ok basi sawaIwe negative au positive mkuu.naamin kila mtu anao huo upande . All in all watu wamesuuzika tu.kwa mwenezi. Nyota ya mtu huwez kuizuia kamwe
Ok basi sawaUnamjua Humphrey Polepole .... alikua mwenezi nae ... ndio utajua power ya iyo nafasi.