Ni kutokana na hotuba ya Rais akiwa singida kusema akatai watu kufanya siasa maeneo waliyoshinda!!
Yeye akijua kabisa dar inamilikiwa na upinzani lazima tuwe wakweli hapa utazuiaje wabunge kuongea na wananchi wao?
Jana amekurupuka tena kama kawaida yake nafikiri itakuwa Mara ya 7kutoa tamko lenye utata baada ya Yale ya
Nauli kwa walimu
Ujenzi wa baa
Mashoga
Shisha
Kuwasaka wasio na kazi maalumu
Machangudoa
Kama kawaida yake karopoka tena !
Daaah yaani katika wakuu wa mikoa wanamwaibisha Mh Rais ni huyu!!
Ushauri Mh Rais mwondoe Makonda Dar kabla ajakuletea matatizo
Mpelekeke ajifunze utawala kwenye mkoa mdogo!!
Kama Katavi,Simiyu,songwe ,Rukwa!!