julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,341
- 4,573
So my question is? Kwann watu wanakusanyika anapokuwa Makonda?
Maana yake,anachokifanya Makonda wangekuwa wameshafanya ma DC, RC, wakurugenzi, mawaziri, manaibu waziri, jero nyingi zingekuwa zimeshasikilizwa!
Makonda ni wakwanza kufanya hivyo? Hapana! Si wa kwanza? Kwanini ghafla watumishi waliacha kusikiliza kero za watanzania Kwa kuingia field je walikatazwa? Noo big nooo
Tayari yake ni nini? Kiwango cha uwajibikaji,utu na kubeba matatizo yetu kama ya kwao ni hakuna kabisa!!
Atapendwa? Big Yes and big No! Justification on this? Atapendwa na matabaka mawili, tabaka la chini na tabaka la kati, lile tabaka analoligusa hawaezi kupenda anachokifanya na wapo tayari kukwamisha jitihada hizi Kwa gharama ya mauti na magonjwa!
Mwisho, Watanzania hawana haja na ofisi kama hazishughuliki na matatizo yao, anayeweza kusimama akashughulika na kero zao,hapohapo ndipo ofisi ilipo.
Kiu ya watanzania ni nini? Kupitia ziara hizo za Makonda? Mosi watanzania wanakosa haki zao za msingi pili Watanzania wanapenda sana viongozi kuingia field kutatua matatizo yetu tatu ambayo ni ya kwanza, Watanzania wanaweza kuonekana wamenyamaza kumbe mioyo yao inabubujikwa na machozi kama wakidharaulika.
Paul C. Makonda anageuka super sub inayotoa matokeo, huu mfupa sio mlaini ndio maana katika kipindi cha miaka 3, wenezi 3 wametafitwa katika nyakati tofauti tofauti.
Mungu anatukuzwa sana kupitia Paul Makonda, unakata kiu za Watanzania.
With thanks. Veronica France, fb on 5th feb 2024. Copy
Maana yake,anachokifanya Makonda wangekuwa wameshafanya ma DC, RC, wakurugenzi, mawaziri, manaibu waziri, jero nyingi zingekuwa zimeshasikilizwa!
Makonda ni wakwanza kufanya hivyo? Hapana! Si wa kwanza? Kwanini ghafla watumishi waliacha kusikiliza kero za watanzania Kwa kuingia field je walikatazwa? Noo big nooo
Tayari yake ni nini? Kiwango cha uwajibikaji,utu na kubeba matatizo yetu kama ya kwao ni hakuna kabisa!!
Atapendwa? Big Yes and big No! Justification on this? Atapendwa na matabaka mawili, tabaka la chini na tabaka la kati, lile tabaka analoligusa hawaezi kupenda anachokifanya na wapo tayari kukwamisha jitihada hizi Kwa gharama ya mauti na magonjwa!
Mwisho, Watanzania hawana haja na ofisi kama hazishughuliki na matatizo yao, anayeweza kusimama akashughulika na kero zao,hapohapo ndipo ofisi ilipo.
Kiu ya watanzania ni nini? Kupitia ziara hizo za Makonda? Mosi watanzania wanakosa haki zao za msingi pili Watanzania wanapenda sana viongozi kuingia field kutatua matatizo yetu tatu ambayo ni ya kwanza, Watanzania wanaweza kuonekana wamenyamaza kumbe mioyo yao inabubujikwa na machozi kama wakidharaulika.
Paul C. Makonda anageuka super sub inayotoa matokeo, huu mfupa sio mlaini ndio maana katika kipindi cha miaka 3, wenezi 3 wametafitwa katika nyakati tofauti tofauti.
Mungu anatukuzwa sana kupitia Paul Makonda, unakata kiu za Watanzania.
With thanks. Veronica France, fb on 5th feb 2024. Copy
