Anaanzia wapi??na yeye si azae hata na mke wake tu?
Kabisamtoto raha sana mwambie.alitaka amkatae mtoto sio? hizo mambo aachie wenye mbegu zao
Baada ya diamond kuweka wazi kuwa kazaa nje ya ndoa, nwananziki mkongwe profaseer jay ampongeza diamond kuwa mkweli
Upande mwingine Mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda ameguswa na uchungu na kumwandikia ujumbe wa pole zari the boss lady
Kujua yote pitia video hii
Kwahiyo zari atimke? Unaweza kuta wewe ndo makonda unatuzingua na akaunt fake hahahahHata Victoria Beckham alishavumilia infidelities za David lakini hakuna iliuofikia kuzaa nje.
Pia na misambwanda hutofautiana wachaga wana flat screen, si kama wahayaMtoto sio mswambwanda useme tu kila mtu anaye.
Ni mtu mzima ataelewa cha kufanya, yeye ndiye alievaa viatu amaelewa kuwa vinamtosha au vina mbanaKwahiyo zari atimke? Unaweza kuta wewe ndo makonda unatuzingua na akaunt fake hahahah
HahahahNi mtu mzima ataelewa cha kufanya, yeye ndiye alievaa viatu amaelewa vinamtosha si vina mbana
ahhaaaa acha tu nilaleMtoto sio mswambwanda useme tu kila mtu anaye.
Hivi Diamond ana mtoto wa nje na wa ndani?!! Unaposema mtoto wa nje una maana gani??Hata Victoria Beckham alishavumilia infidelities za David lakini hakuna iliuofikia kuzaa nje.
Mtu anapoamua kuzaa inamaana amepiga dry kweli dunia hii kupiga dry hiiHivi Diamond ana mtoto wa nje na wa ndani?!! Unaposema mtoto wa nje una maana gani??
Hahahah..! Sure I love you..! (just as friend). Usingekuwa mchagga ningekuomba ata ukinipiga cha mbavu ningechukulia poahIvi ni kitu gani kinachomfanya asioe,ni uwezo hana ama