Makonda amwandikia ujumbe Zari wa Diamond

Baada ya Diamond kuweka wazi kuwa kazaa nje ya ndoa, mwananziki mkongwe Profaseer jay ampongeza Diamond kuwa mkweli.

Upande mwingine Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ameguswa na uchungu na kumwandikia ujumbe wa pole zari the boss lady kujua yote pitia video hii.


 
Back
Top Bottom