ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,703
- 28,241
Haiwezekaniugomvi wa wanandoa umekuwa ugomvi wa taifa!
haya sio ajabu Rais mwenyewe anapenda ubuyu wa shilawadu........ sitashangaa na yeye aki tweet kumpa pole ZARI
Haiwezekaniugomvi wa wanandoa umekuwa ugomvi wa taifa!
haya sio ajabu Rais mwenyewe anapenda ubuyu wa shilawadu........ sitashangaa na yeye aki tweet kumpa pole ZARI
Pole ya nini kwani huyo zari na diamond ni mke na mume ?wte hao si mahawara wake tu kila mwenye kuwashwa washwa waende tu kwa diamond dume la kupandishia kwa sababu kama zari anataka kutulia na diamond kwa nini wasioane tukajua kwamba ni mke na mume na kila mtu ataheshimu ndoa yao lakini hapo mabeto kaingia kwa sababu anajua hakuna ndoa.RC Makonda ameandika kwenye Instagram yake akimwambia Zari kuwa ana uwezo mkubwa wa kupita kwenye dhoruba na akaendelea kubaki imara na kuendelea kupata heshima kutoka kwa familia yake.
RC Makonda kaandika ”Thamani yako kwangu bado ni kubwa sana, kwani uwezo wako wa kupita kwenye dhoruba na ukabaki imara na familia yako unaendelea kukupa heshima.”
View attachment 591670
Uongozi? AKASOME KWANZA..azibe na tundu la pua,atoe na kidukuMakonda yupo sahihi diamond sio mtu mdogo hapa nchini ni mmoja kati ya vijana wenye ushawishi mkubwa pia ni rahisi kupata hata uongozi kutokana na influenc aliyokuwa nayo.
Unamaanisha makonda hana mtoto Kumbe mkuuu?Huyu si ndio mshauri wa Diamond na Mlezi wa wasafi?! Aongee na Diamond, mtoto wa Mobeto awe wa Makonda!!
Kwa akili za hili dubwana halishindi...BTW uwe unakomaa na jukwaa hili tu Kule siasa hapakufai!tuombe tu asimfukuze Mobetto kwenye mkoa wake
Hahahahahahahaugomvi wa wanandoa umekuwa ugomvi wa taifa!
haya sio ajabu Rais mwenyewe anapenda ubuyu wa shilawadu........ sitashangaa na yeye aki tweet kumpa pole ZARI
HahahaahahahahaahahahahahahhhaView attachment 591751 ehhehene
Hahahahaa....Mbona umeleta kwenye jukwaa la siasa
Hii nayo siasa ?
ahhh haaah jamaa zako wamezingua nusu saa nzima mtu anaongea actually,nataniaKwa akili za hili dubwana halishindi...BTW uwe unakomaa na jukwaa hili tu Kule siasa hapakufai!