Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 9,263
- 12,197
1. Huyu bwana kwanza anaipenda siasa.
2. Anapenda kuongea
3. Hachoki kuongea
4. Hachoshi akiwa anaongea na wananchi.
Basi tu ila nchi yetu inahitaji viongozi kama hawa.
Tungeongezea na nguvu akina Sabaya na Happy ni dakika sifuri CCM inakwenda kunyoka.
Lakini tuondoe na janjajanja zisizo na msingi tuwatumikie wananchi.
2. Anapenda kuongea
3. Hachoki kuongea
4. Hachoshi akiwa anaongea na wananchi.
Basi tu ila nchi yetu inahitaji viongozi kama hawa.
Tungeongezea na nguvu akina Sabaya na Happy ni dakika sifuri CCM inakwenda kunyoka.
Lakini tuondoe na janjajanja zisizo na msingi tuwatumikie wananchi.